HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Habari za asubuhi wakuu
Napenda kuuliza je mwanamke mwenye ujauzito ataacha kushiriki tendo la ndoa baada ya ujauzito kufikisha miezi mingapi na atashiriki baada ya kujifungua ipite miezi mingapi
Asanteni karibuni mchangie
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuuliza je mwanamke mwenye ujauzito ataacha kushiriki tendo la ndoa baada ya ujauzito kufikisha miezi mingapi na atashiriki baada ya kujifungua ipite miezi mingapi
Asanteni karibuni mchangie
Sent using Jamii Forums mobile app