Kwa wanandoa

Kwa wanandoa

29.Keep the in-laws out of your marriage!
Hii mimi ndio imenigusa sana! Ngoja niifanyie kazi now!
 
Hiyo hata mimi siikubali
Labda mtu adadavue hii privacy ni ipi hasa mwanandoa anapaswa kuiheshimu...Lakini binafsi usiri siri kwenye mahusiano naona unazua wasiwasi kwa kweli. (hicho ninacho share naye ndo cha siri hasa (private ) sasa sijui hii ingine inahusisha yapi)
 
@bht and Nyumbakubwa, privacy inayoongelewa hapa sio usiri bali ni kama vile time alone, yaani kuna wakati u just need to be with yourself ...

Kwamfano kuna maamuzi mengine ambayo pamoja na kumshirikisha mwenzako lazima pia na wewe mwenyewe upate muda wa kuyachuja 'alone' hivyo kuna wakati hata kama uko kwenye ndoa ama useja unahitaji some 'me time'

Hii inasaidia kuleta balance ya maisha especially akina mama ambao wako busy kazini,au nyumbani , pia kwa wanaume, kiujumla kwavile tumeumbwa kila mtu kwa mfano wake basi hata traits zetu kidogo zinatofautiana hivyo mwenzio akihitaji some timealone, mpe tu usimwingilie akishatoka humo atakuwa free kukueleza ila hii sawa na kuficha siri
 
ishu ya confidenciality inahusika pia, jaribu kumtunzia siri mwenza wako pia! Usiwe mtu kuropoka ropoka!
 
Nsiande, nimekuelewa. I have no problem 'letting' my man have some times with his friends (guys time).

sasa kama hilo ndo privacy inayoongelewa hapa...hewala! Lakini kama ni mambo ya kifichana fichana...aah!
 
Mimi nikikasirika huwa sina altenative, zaidi ya kuondoka nikakae sehemu kutafakari. Kwa hiyo style ya kuvua nguo nafikiri utakaa naked mpaka mbu wakutoe roho.
 
Caro, kila mtu ana staili yake ya ku handle mahusiano yake aisee... Sidhani kama kuna utaratibu maalum hata kidogo!

Its good to do it your own way...
 
Sometimes its good also to learn other ways. Ili kuhakikisha penzi laendelea kuchipua. Mimi nataka kuwa mpya now and then through readings inasaidia kuona mapungufu yangu.
Nikisoma baadhi ya point naona kabisa nilichopungukiwa na natafakari namna ya kujenga tabia mpya.

Caro, kila mtu ana staili yake ya ku handle mahusiano yake aisee... Sidhani kama kuna utaratibu maalum hata kidogo!

Its good to do it your own way...
 
Sometimes its good also to learn other ways. Ili kuhakikisha penzi laendelea kuchipua. Mimi nataka kuwa mpya now and then through readings inasaidia kuona mapungufu yangu. Nikisoma baadhi ya point naona kabisa nilichopungukiwa na natafakari namna ya kujenga tabia mpya.
I will never say no to knowledge! (utakua umenielewa mpendwa)And doings things your way doesnt mean you have to be monotonous...hata!Ni vizuri sana kujifunza/kusoma na kuongeza ujuzi kwenye mambo mbalimbali ila si lazima ukisomacho ndicho ukifanye, hasha! Waweza tumia na maujanja yajo basi ukapata chako kikufaacho!
 
[h=3]Nimekutana na hii thread toka one of good blogs nikaona si mbaya kushare na ninyi. For me this is good advice but challenging.

Secrets to a Happy Marriage[/h]


Have you ever wondered "what is the secret to a long and happy marriage?" Our collection of tried aand true marriage advice tips will help you answer that very question! These secrets to a happy marriage come straight from the horse's mouth -- those who are happily married!

1.Never assume.

2.Compliment more than you criticize.

3.For each time you vent about your husband/wife to your friends, tell three positive stories.

4.Remember that it is ok to do things differently (e.g. there is more than one way to peel a potato or fold the laundry).

5.Always make time for the two of you.

6.Marry someone that you enjoy listening and talking to.

7.Remember that marriage is sometimes a bed of roses and sometimes there are thorns.

8.Remember that the best gift that you can give your children is to love their mother/father.

9.Be fair! Split the housework, spending money, etc evenly. This way you are never resentful of your partners contributions (or lack of) or expenditures.

10.Never go to bed angry. (Unless it's 3a.m. and you're exhausted, angry, and not thinking straight.)

11.Remember that people do fight. It's how you do it that matters.

12.Before starting an argument, consider if it's really worth it.

13.Fight naked. 😉

14.Agree to disagree.

15.Never, ever mention the "D" word (divorce).

16.Do you want to be right or do you want to be married?

17.Respect each other's privacy.

18.Remember that "love is like childhood. You need to learn to share."

19.Marriage is not 50/50, it's two people giving 100/100 all of the time.

20.Surprise each other now and then.

21.The secret to a happy marriage is two TV's!

22.Have date night!

23.Never pass up an opportunity to say "I love you".

24.Hold hands.

25.Hug & kiss every day (several times a day actually!).

26.Always believe that you got better than you deserved.

27.Be quick to say "I'm sorry".

28.Choose the one you love, then love the one you choose.

29.Keep the in-laws out of your marriage!

30.Love isn't always a feeling, it's a decision.

31.Hang in there. It's worth it.

32.Play nice, play often, love much.

33.Never air your dirty laundry as a couple in public.

34.Never keep secrets from each other.

35.Be each other's champion. No matter what, take your husband or wife's side first!

36.Communication is the key!

37.Always respect each other.

38.Never underestimate the power of a good belly-laugh and don't be afraid to laugh at yourself.

39.It's the little things that matter most.

40.Never use the words 'Always' and 'Never' in a fight.

41.It's ok to argue, but never use curse words to express your anger.

42.Never compare your marriage to others. What you see on the outside is not always what it is on the inside.

43.Don't make love in the same place/position everytime. Variety is the spice of life!
You might also like:


Nyumba kubwa, ahsante kwa ukumbusho mzuri sana,
ila number 17 mnh?...sidhani kama inaeleweka vizuri siku hizi
muendelezo wa sentensi hiyo ni ["There are times when the most devoted husband or wife needs to be alone."]
 
Nyumba kubwa be blessed kwa kushare nasi hili DESA muhimu... Wadau na namba kumi ni ya msingi sana... nafikiri inaweza kuwa linked na hiyo ya kufight mkiwa naked.
10.Never go to bed angry. (Unless it's 3a.m. and you're exhausted, angry, and not thinking straight.) ..... kinachosisitiziwa hapa ni kutokuziweka tofauti zenu (ugomvi) kwa muda... coz msiposolve kwa wakati inasababisha makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom