Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
We na mkeo mmeanza maisha na wote, mwafanya kazi sehemu tofauti na huwa mnaondoka alfajiri kwenda mihangaikoni na mnatumia daladala. Kila siku kuna jama anapita na gari lake na mkeo anakuambia anamfaham na anafanya shughuli zake jirani anapofanya kazi na anamsifia alivyo mkarimu. Siku moja mpo kituoni asubuhi anapita huyo jamaa na gari lake nae anajitolea kumpa lifti mkeo...
Kama mumewe utafanyaje?
Kama mumewe utafanyaje?