Kwa wanaoagiza mchanga au kokoto tunaibiwa aisee kumbe uwa wanapunguza njiani kuna vituo

Wabongoni wezi sana, kule Mtwara Mkulima korosho anaweka mawe, mchanga ili uzito uongezeke...Mwanza wanaweka pamba maji...Mpimaji naye anachezea mizani amuibie Mkulima.
 
Wala hapigwi mtu ni kushindwa kuelewa tu.
Wewe unanunua mchanga kwa cbm kadhaa ambacho ndio kipimo cha lile bodi. Wao kule machimboni wanajaza rumbesa maana yake ni kuzidisha ujazo stahiki, hivyo akiuondoa hilo halikuhusu, Wewe pima tu kwamba bodi imekuja flat
 
Mkuu umeongea point sana. Nilitumia hii njia nikapata mchanga wa kutosha nimejenga hadi umebaki.
 
Ipo hivii. Unauziwa kile ulicholipia. Kipimo cha mchanga mara nyingi huwa ni 'rati' ama level ya body lakini driver akienda machimbo huwa anapakia 'lumbesa' ile oversize halafu kabla hajakuleteahupunguza kilichozidi kisha anakuletea mali yako.
Kama ukitaka lumbesa mwambie nae atakupa bei ya lumbesa kama unataka rati stakupa bei yake na kama ukilia zaidi atakuletea wa thamani ya hela yako.
Pale mteja haibiwi na kama ukiona unaibiwa basi akija kushusha kagua kabla hajashusha ama ukienda kuongea nae kuhusu bei akuoneshe mahali ujazo utakapoishia
 
Sahihi sana
 
hiyo boss wangu sasa inavotamkwa utasikia "boswangu"[emoji23][emoji28]
Daaah we jamaaa umenichekesha sanaaaaa
Hahahaha hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah hatariiii Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…