Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Naam naona kichwa cha habari kimejitosheleza, naomba mjuzi anipe muongozo wa utaratibu mzima wa usajili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante, application unafanya online au?Ukitaka kufanikiwa lazima ulambishe watu asali, mchakato wake ni Brela na BOT.
Umeandika kwa kifupi na nakufahamisha kwa kifupi.
Ni online, ila kama uchumi unakuruhusu mpate mtu akufanyie, si rahisi kama unavyofikiri.Asante, application unafanya online au?
Na kama ni online, namba muongozo wa website au portal husika
Scartch my back and I'll scartch yoursUkitaka kufanikiwa lazima ulambishe watu asali, mchakato wake ni Brela na BOT.
Umeandika kwa kifupi na nakufahamisha kwa kifupi.
Naomba ntajie iyo website ya kufanyia usajiliNi online, ila kama uchumi unakuruhusu mpate mtu akufanyie, si rahisi kama unavyofikiri.