Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,656
Kwa wadau mnaofuatilia muvi za kibongo.
Huyu jamaa ni maarufu sana kwenye ulimwengu wa muvi za kibongo anaitwa Rey.
Nashangazwa na kitu kimoja tu.
Hivi hawezi kuigiza katika hali ya kawaida ya maisha au hata kuigiza fukara?
Kila muvi zake ni lazma aigize tajiri tu?
Huyu jamaa ni maarufu sana kwenye ulimwengu wa muvi za kibongo anaitwa Rey.
Nashangazwa na kitu kimoja tu.
Hivi hawezi kuigiza katika hali ya kawaida ya maisha au hata kuigiza fukara?
Kila muvi zake ni lazma aigize tajiri tu?