House4Sale Kwa wanaohitaji nyumba na Apartment za kununua tukutane hapa

House4Sale Kwa wanaohitaji nyumba na Apartment za kununua tukutane hapa

KAZI nzuri sema pesa imesafiri mno. Sijui itarudi lini mikononi tena. Leta huko za bei rahisi chini ya milioni 100 Bwana.

Nyumba hii ipo Sokoni Kiluvya kwa Komba metre 500,tu kutoka Morogoro road;
Maji yapo,mpaka shower,
Vyumba vitatu kimoja Master, store,jiko, public Toilet.
Ukubwa wa eneo Ni 15/35.
Bei ya kutupa Million 60.
Maongezi yapo tulifika site.
0762815104

IMG-20211108-WA0148.jpg


IMG-20211108-WA0147.jpg


IMG-20211108-WA0136.jpg


IMG-20211108-WA0135.jpg


IMG-20211108-WA0156.jpg


IMG-20211108-WA0151.jpg


IMG-20211108-WA0149.jpg


IMG-20211108-WA0155.jpg


IMG-20211108-WA0153.jpg


IMG-20211108-WA0152.jpg
 
Sa
KAZI nzuri sema pesa imesafiri mno. Sijui itarudi lini mikononi tena. Leta huko za bei rahisi chini ya milioni 100 Bwana.
wa mkuu. Karibu sana. Ingawa bei mara nyingi inategemea eneo nyumba ilipo,thamani ya kiwanja, ukaribu na barabara, matumizi, gharama za ujenzi, sababu za kuuza(shida ya fedha) , ukaribu na huduma za kijamii, upya, nk
 
NYUMBA INAUZWA DAR ES SALAAM

Mahali ilipo: Mbweni - Manispaa ya Kinondoni Dar Es Salaam

Ina vyumba vitatu vya kulala, Sitting room, Public toilet, Frem mbili za Duka n.k

Ukubwa wa kiwanja: Kiwanja kina ukubwa wa sqm600 kimepimwa na kupatiwa Hati kamili ya wizara (Title Deed)

Bei elekezi ni Tsh mil 75 na maongezi yapo.

Nyumba ipo katika eneo zuri lililochangamka na ipo jirani kabisa na Barabara ya Lami. 0762815104

IMG-20211109-WA0175.jpg


IMG-20211109-WA0173.jpg


IMG-20211109-WA0165.jpg


IMG-20211109-WA0164.jpg


IMG-20211109-WA0166.jpg


IMG-20211109-WA0168.jpg


IMG-20211109-WA0167.jpg


IMG-20211109-WA0171.jpg


IMG-20211109-WA0170.jpg


IMG-20211109-WA0169.jpg
 
Bei imeshuka kwa Sasa kwa hili Pagale.
Kwa Sasa anataka 85M tu.

Lipo Mbezi karibu na stand,umbali kutoka stand ya Morogoro Road ni metre 200 tu.
Lina Vyumba Vinne,kimoja ni master,sebule, dinning,jiko store na Choo Cha public.
Ukubwa wa eneo ni Square metres 1300.
Lina hati miliki.
Kwa wale waekezaji wa Lodge,au Guest house karibuni.

0762815104

IMG-20211110-WA0034.jpg


IMG-20211110-WA0035.jpg


IMG-20211110-WA0032.jpg


IMG-20211110-WA0033.jpg


IMG-20211110-WA0038.jpg
 
GHOROFA UNFINISHED LINAUZWA. Ghorofa lipo POSTA.
Lina floors 16.
Liko mjini kabisa karibu na barabara Linauzwa 15 Billion.

Piga simu 0762815104

IMG-20211110-WA0060.jpg


IMG-20211110-WA0061.jpg


IMG-20211110-WA0062.jpg


IMG-20211110-WA0063.jpg
 
Hii plot Ina ukubwa wa Square metre 1500.
ipo Goba Maeneo ya Nashpark au Kings School,1 km from njia nne Kama unaenda Mbezi,kushoto kwako.
Umbali kutoka Road ni Metre 800; tu.
Kiko sehemu nzuri Sana,na mtaa wa kishua.
Inataka million 50.

Maelewano site.
Document Serikali ya Mtaa Safi kabisa.
0762815104

View attachment 2004182
Niliona pamewekwa Mabango, Epuka Matapeli Eneo hili Haliuzwi.
 
kiwanja kipo boko chama kama unaenda bagamoyo kipo kulia kina sqm 1800 kipo sehem zuri sna bei 120 maongezi kidogo.

Nipigie 0762815104

IMG-20211110-WA0094.jpg


IMG-20211110-WA0092.jpg


IMG-20211110-WA0093.jpg
 
kiwanja kipo boko chama kama unaenda bagamoyo kipo kulia kina sqm 1800 kipo sehem zuri sna bei 120 maongezi kidogo.

Nipigie 0762815104
 
Ubora Bongo?Labda ununue na kulishusha.
Tusijidharau. Ata wewe eneo lako hufanyi kwa Ubora? Tuwe positive tu. Wahusika wana uelewa navyo. Namiini huwezi kununua kitu ambacho hukijui vizuri kwaio kama hukijui vizuri na una uhitaji nacho Utatafuta wataalamu watakusaidia na kukushauri
 
KIWANJA KIKUBWA KINAUZWA

Mahali: Kerege Magengeni-Bagamoyo

Ukubwa:Mita 40 kwa 80.

Ni Mita 150 tu toka Barabara ya Bagamoyo Road

Barabara ipo Mpaka kwenye kiwanja.

Bei: Milion 17, Ameshusha Bei Sana Mmiliki.

Mawasiliano:0762815104

IMG-20211110-WA0150.jpg


IMG-20211110-WA0151.jpg
 
NYUMBA NZURI SANA INAUZWA

MAHALI ILIPO DARESALAATZ ENEO KIBAMBA SHULE UMBALI NI KM 1.5 USAFIRI WA KUSHEA BAJAJI WA MIATANO 500##BODABODA#1000#

VYUMBA V4 VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTA BEDROOM SEBULE KUBWA DINING ROOM KUBWA JIKO ZURI LA KISASA INA VYOO NA BAFU VYA FAMILIA NDANI INA TAILS GYPSUM ALUMINUM WINDOWS LUKU INDEPENDENT WATER 24 HRS CAR PAKING SPACE PAVING BLOCKS

BEI INAUZWA TSHS MIL150#MAONGRZIYAPO#

AREA SIZE SQMITER 900

DOCOMENT LOCAL GAVMENT

PAMESHAPIMWA TAYARI PANA BICONI TAYARI

0762815104

IMG-20211110-WA0155.jpg


IMG-20211110-WA0156.jpg


IMG-20211110-WA0162.jpg


IMG-20211110-WA0163.jpg


IMG-20211110-WA0164.jpg


IMG-20211110-WA0165.jpg


IMG-20211110-WA0154.jpg


IMG-20211110-WA0158.jpg


IMG-20211110-WA0159.jpg


IMG-20211110-WA0160.jpg


IMG-20211110-WA0161.jpg


IMG-20211110-WA0157.jpg
 
Dodoma Ihumwa-Ngolani 5bedrooms nyumba inauzwa bei 660ml negotiable

Kiwanja kina hati 1,500sqm

5bedrooms
1masterbedroom
Servant quarter
Sitting room
Dinning
2Kitchen
4common toilet
Study room
Electrical fence
Parking
Laundry.
Call/WhatsApp 0762815104

IMG-20211111-WA0013.jpg


IMG-20211111-WA0014.jpg


IMG-20211111-WA0011.jpg


IMG-20211111-WA0012.jpg
 
Habari, Kama uzi unavyojieleza. Nitakua nikipost hapa nyumba, Viwanja vikubwa na Apartment zinazouzwa. Location na bei. Zaidi ni nyumba za Dar es Salaam

Good stuffs, muhimu sana kuwakunatanisha wauzaji na wanunuzi pamoja.
 
Back
Top Bottom