House4Sale Kwa wanaohitaji nyumba na Apartment za kununua tukutane hapa

Natafuta plot ya kuweka frem, nimefurushwa barabarani sitaki eneo kubwa hata 10 kwa kumi linanitosha. Kigezo pawe na biashara na bei iendane na machinga.
 
Nyumba ipo sala sala sq1200 ina hati miliki imenyoka sana bei milioni 250 maongezi yapo kimenyoka sana mpya ipo pazuli sana.

0762815104









 
Nyumba inauzwa milioni 60 maongezi yapo ipo mbezi mwisho malamba mawili nyumba ina vyumba vitatu kimoja master bedroom sitting room dining room kitchen store toilet pablic ukubwa wa eneo ni SQMT 626 document hati ya mauziano ya selikali ya mtaa maji dawasco umeme vyote vipo



0762815104









 
NYUMBA KALI YA KISASA INA UZWA IPO KIMARA MWISHO .

Sqm 800
VYUMBA 4 VYA KULALA VIWILI NI MASTER BEDROOM
NA KILA CHUMBA KINA KABATI
SEBULE KUBWA
SLIDE WINDOW
JIKO +OPEN KITCHEN)
TILES SAFI
GYPSAM
KUNA KISIMA MAJI HAYA KAUKI
KUNA JIKO LA NJEE NA MAKABATI YAKE /STORE
VYOO VYA NJEE
NDANI YA FENCE
PAVING BLOCK
PARKING SPECE KUBWA SANA
SECURITY WAYA

BEI 120M.

Mawasiliano 0762815104





















 
Nyumba hii inauzwa ipo mbagala kongowe mkabala na barabara ya kilwa road, umbali wa mita 400 kutoka kituo cha kanisani.

Inauzwa pamoja na uwanja wa wqzi wenye ukubwa wa mita 20*15. Nyumba imezungushiwa uzio, maji na umeme vyotw vipo.

Nyumba Ina vyumba 4, master bedroom, choo cha ndani na nje. Jiko, sebule na dinning room pia.

Bei ya mauzo ni 30 millions. Namba za mawasiliano ni 0762815104











 
Nyumba inauzwa milioni 40 ipo mbezi mwisho makabe senta nyumba inavyumba vitatu kimoja master bedroom sitting room dining room kitchen store toilet pablic.

Ukubwa wa eneo ni SQMT 500 document hati ya mauziano ya selikali ya mtaa umbali ni mita 500 kutoka senta ya makabe

Piga simu 0762815104













 
Milion 150
Ipo toangoma kigamboni
Ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni Masters bedroom
Ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina kisima Cha maji na umeme upo
Eneo sqm (600) ime pimwa Hattie bado
Kutoka bar bar kuu ya Rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 3 tu kwa mwendo wa miguu kutoka bar bar kuu ya kigamboni
Bei Tsh mil 150 tu

















 
Nyumba inauzwa bunju A

Ina vyumba vitatu sitting room dining room kitchen store public toilet

Uwanja ni sqm700

Inauzwa pamoja na fenicha zake ndani.

Bei 150m

0762815104

















 
TANGAZO TANGAZO
Pagale la kifahali linauzwa ✔️
Pagale lipo mbezi in miter 100 tu toka Moro road 🚀
Bei mil 100 maongezi yapo 🛩️
Pagale linavyumba v4 Kati ya hivyo chumba kimoja ni master ✔️
Ipo sebule ya kibabe daining jiko stoo public .
Eneo la kiwanja ni sqm 1300 toitledeed ipo mkononi umbali miter 100 toka Moro road na miter 500 kutoka stend kuu ya mabus yaendayo mikoani✈️
Pagale Linafaa kugeuza Gest au hoteli
Karibuni wote 0762815104















 
Pagale linauzwa.

Iina bedroom 2 master 1 kordo sitting dining jiko Public toilet.

Document zipo ukubwa 20/20

millioni 15

iko bunju b karibu na majengo ya TBA.
0762815104





 
Nyumba nzuri sana inahitaji pesa ya haraka sana tsh mil 190 tu.

Hii ipo kigamboni muembe mtengu nyumba nzuri Sana
Sqm 1100
Ina hati miliki.

Ina vyumba vinne vya kulala kimoja ni master bedroom
Kutoka bar bar kuu ya Rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 9 tu kwa mwendo wa miguu.

Mteja serious ñjoo tumalize biashara nyumba ime shuka bei kutoka milion 300 iyo mpka milion 190 tu

0762815104















 
NYUMBA INA UZWA IPO KIMARA KOROGWE KM1.5 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD USAFIRI BAJAJI 500/BODA 1000/=

NYARAKA ZA UMILIKI INA HATI YA MAUZIANO ZA SERIKALI YA MTAA

UKUBWA WA ENEO 30 KWA 25

VYUMBA 4 VYA KULALA
SEBLE KUBWA
DINNING ROOM
PUBLIC TOILET
JIKO
MADILISHA YA WAVU
MAJI YA DAWASCO YAPO
UMEME UPO
NDANI YA FENCE
PARKING MKUBWA
BEI MILIONI 65

0762815104













 
Pagale linauzwa
Location: Tegeta A,Madawa.
SQM:560
Price :55M,
Negotiable.
Contents:Vyumba vitatu vya kulala,viwili Master, Dinning, Kitchen, Store,na Vibaraza Vitatu.
0762815104 .



















 
Nyumba hii inauzwa.
Location:Mbezi,Njia panda ya Makabe,km 1;kutoka Mbezi Stand Kama unaenda Goba.
Content:Ina vyumba vitatu,kimoja master, public toilet, Dinning,jiko pia na Servant quarter Master.
Document:Serikali za Mataa,hla isharasimishwa.
Price :200M.
Maelewano yapo tu Kama kawaida.
Ubora:Hipo umbali husiozidi Metre 80 kutoka bara barani,Kwa wale wawekezaji wa Lodge,Guest na Mabar ukizingatia stand hipo kribu mnakaribishwa.
Inatoa 10%, ikiuzwa si chini ya 150M.chini ya hapo mnakaa mezani.

0762815104













 
Hii plot Ina ukubwa wa Square metre 1500.
Hipo Goba Maeneo ya Nashpark au Kings School,1 km from njia nne Kama unaenda Mbezi,kushoto kwako.
Umbali kutoka Road ni Metre 800; tu.

Hiko sehemu nzuri Sana,na mtaa wa kishua.
Inataka million 48.Maelewano site.
Document Serikali ya Mtaa Safi kabisa.

0762815104









 
Nyumba inauzwa ipo mbezi msumi km 9 kutoka mbezi ya kimara daladala 500 tu nyumba ni ya vyumba v3 na jiko chumba master sebule kubwaa nyumba gari mpaka hapo bei ni mil 12 nyumba imeshafungwa grii kasolo sebuleni eneo 10 kwa 15 nyumba ukishuka msumi unatembea dk 4 tu karibuni kiwanja kishapimwa bado hati
Karibuni 0762815104

















 
Nyumba inauzwa.

Ipo Tabata segerea mwisho.

Nyumba Ina vyumba 4, Kimoja master. Vyumba vingine ni vikubwa mno.

Ina sebule kubwa, Dining, jiko, Public toilet, Kolido, Parking kubwa .

Eneo meter 25/30

Maji umeme vipo. Karibu na barabara ya lami.

Bei milioni 222. Maongezi yapo.

Nipigie 0762815104













 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…