Kwa wanaohusika: Acheni uchuro!

Kwa wanaohusika: Acheni uchuro!

Status
Not open for further replies.
Kumbe Tunajikumbusha ile habari ya mwaka jana.
Maana nilivoona hii na ile taarifa ya Invisible nikaona kama vinakinzana.
 
Jana Jumamosi habari zilianza kuenea katika maeneo mbalimbali nyumbani hasi miongoni mwa vigogo kuwa Balali amefariki. Simu zikapigwa na sisi wengine ambao tunaelewa hali ya mgonjwa tukashtushwa. Labda ni kweli mnataka afe ili aende kwa muumba na siri zenu. Bahati mbaya mpango huo hadi hivi sasa ahera madukani wameuharisha na akirudisha namba yake itakuwa ni kwa kibali cha Aliye Juu. Sasa acheni kumchuria msije mkalazimisha kutimiza unabii wenu wenyewe. Kule kwetu huo unaitwa uchuro! Nawashauri mtangulie nyinyi kwanza lakini baada ya kusema siri zenu! Na mtake msitake atarudi nyumbani na kama kuna mashtaka yoyote ambayo mko tayari kuyaandaa mjue kabisa hatasimama kizimbani peke yake! Mmelikoroga wenyewe, sasa mtalinywa! Tuliwaambia mkatuona siye tuna wivu..

Inawezekana habari ya kifo hiki nayo ikawa ni uvumi?
Maana hata Mpakanjia na Chenge washawahi kuzushiwa...
 
Invisible na Mwanakijiji mnatuchanganya jamani nani mkweli kati yenu.
mwangine ana sema hatunaye,mwingine anasema kuwa kaibuka na kusema.

Jamani trusted source kama hii haiwezi kuwa na habari zinazokinzana kama hizi...hasa kwa wanachama nguli kama hawa?Please
 
Invisible na Mwanakijiji mnatuchanganya jamani nani mkweli kati yenu.
mwangine ana sema hatunaye,mwingine anasema kuwa kaibuka na kusema.

Jamani trusted source kama hii haiwezi kuwa na habari zinazokinzana kama hizi...hasa kwa wanachama nguli kama hawa?Please

Mkuu soma vizuri mengine tunajikumbusha ya zamani. Usipo soma vizuri utajichanganya
 
jamani! Hebu tuzingatie matumizi ya tarehe....tutaza threads zisizo hata na maana tena humu ndani! Hapo kushoto pana tarehe inaonyesha lini hilo jambo lilijadiliwa inasaidia kupoteza muda na nafasi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom