Kwa wanaoifahamu Zambia; Msaada tafadhali nahitaji kwenda kufanya biashara huko

Kwa wanaoifahamu Zambia; Msaada tafadhali nahitaji kwenda kufanya biashara huko

Aisee mkuu, viatu vya wamasai utauza lakini inabidi ukifika umtafute mzambia akuuzie usionekane wewe ndo unauza. Wazambia hawaoni shida kutumia pesa nyingi kwa mambo ya starehe na urembo.
Ooh shukran boss japo niliandika mda ila nmefika mwaka huu
 
Mkuu kwa sasa nipo zambia lusaka,bado upo zambia ili tuweze kuonana kama hautojali
Karibu mkuu mimi nipo zambia comesa kibiashara ninauza viatu vya kimasai na baadhi ya bidhaa kibiashara ni pazuri sana gharama za kodi za nyumba ya kuishi na sehem ya biashara siyo kubwa sana inategemea na sehem unayotaka uishi au ufanyie biashara viatu vya kimasai vinapendwa sana na faida yake ni nzuri sana karibu zambia mkuu kwa ufafanuzi zaidi ni pm
 
Back
Top Bottom