Kwa wanaoifahamu Zambia; Msaada tafadhali nahitaji kwenda kufanya biashara huko

Aisee mkuu, viatu vya wamasai utauza lakini inabidi ukifika umtafute mzambia akuuzie usionekane wewe ndo unauza. Wazambia hawaoni shida kutumia pesa nyingi kwa mambo ya starehe na urembo.
Ooh shukran boss japo niliandika mda ila nmefika mwaka huu
 
Mkuu kwa sasa nipo zambia lusaka,bado upo zambia ili tuweze kuonana kama hautojali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…