Kwa wanaojua, hivi naweza kutumia Vodacom Mastercard kupokea pesa nje

Kwa wanaojua, hivi naweza kutumia Vodacom Mastercard kupokea pesa nje

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Kuna platform ya betting najaribugi bahati humo kama mjuavyo hakuna pesa chafu na maisha kupambana.

Sasa kuna issue ya kwenye ku withdrawal, nimeona wao wana options za kutumia debit card au credit card, sasa mimi pia nnayo Vodacom mastercad, endapo nikijaribu kutoa mpunga kwa kuweka ile namba ya mastercad yangu ya Voda kama card, je mpunga utakuja?

Najua kuna wadau wataalamu humu, naombeni mnisaidie maarifa, kama itafika niendelee nayo maana naona ni njia rahisi kwangu, na kama itakataa basi nitafute utaratibu mwingine.
MASTERCAD.JPG
 
Tafuta card ya BANCABC (VISA) au EXIM (MASTERCARD) nimeshawahi kuzitumia zote. Hiyo njia unayotumia hautaweza kupokea hela.
 
Mkuu sisi tuna beti kwenye betting za hapa hapa bongo wewe mwenzetu una beti wapi...? Labda kuna faida kubwa huko..? Tupe uzoefu mkuu nasisi tutusue.
 
Back
Top Bottom