Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 454
Serikali iendelee kukataza bangi tu jaman
Serikali iendelee kukataza bangi tu jaman
Low oblique mara nyingi huonesha horizon ila high oblique mara nyingi haioneshi horizon.Ila picha siioni hapa.
Kweli kabisa.
Off topic: nmependa avatar yako
Asante mkuu
Tupambane wanavuta bangi ambazo hazina viwango...
Mda ambao sio sahihi.
Kupitia sehemu mbaya...
Uko vice versa mkuu.high inaonyesha horizon but low haionyesh..
My low oblique inacovers small area, ground feature ambazo ni familiar haionyeshi horizon
High oblique inacover eneo kubwa ..ground area yake inavary kutokana na height .
horizon yake inakuwa visible
kijana picha iko wapi?Hii obLique photograph bila shaka, swali ni kwamba je ni high oblique au low oblique???
Anaejua tafadhali coz imeleta utata kidogo hapa nilipo!
Natanguliza shukran
Sent from my iPhone4 using JamiiForums
picha yenyewe mbona siioni. Ila tofauti ya low na high oblique ni kuwa low oblique inachukuliwa kwenye angle ya 30 degree wakati high oblique inachukuliwa kwenye angle ya 30 had 45 degree na pia high oblique inachukuliwa kwenye "low flying plane". wakat low inachukuliwa kwenye tall building au juu ya mlima. mfano wa low oblique ni game nyingi za kisasa mfano gta zote na pia hata security camera zinazofungwa maofisini, mabenki na kwingineko ni mfano mzuri wa low oblique. Naiman umeelewa na kama bado karib mkuu.
My low oblique inacovers small area, ground feature ambazo ni familiar haionyeshi horizon
High oblique inacover eneo kubwa ..ground area yake inavary kutokana na height .
horizon yake inakuwa visible
Nmekuja hapa sasa wa jigrafia kdogo, uklaza pemben kdogo. Kuna tofaut kat ya hogh and low oblique. .ambapo kuna kuwa na tufauti ya nyuz toka pale inapopgwa picha kuelekea object huska..n