Pcha ni hii mkuu samahan sana nlisahau kupost na pcha
Sent from my iPhone4 using JamiiForums
kan'tangaze aisee hiyo simu yako ni tatizo
Mtandao unantesa sana nko kijijin ndugu zang kila nkijarib kutuma pcha inafeL..daaah it's a burden of guiLt kwa kweli
Sent from my iPhone4 using JamiiForums
picha yenyewe mbona siioni. Ila tofauti ya low na high oblique ni kuwa low oblique inachukuliwa kwenye angle ya 30 degree wakati high oblique inachukuliwa kwenye angle ya 30 had 45 degree na pia high oblique inachukuliwa kwenye "low flying plane". wakat low inachukuliwa kwenye tall building au juu ya mlima. mfano wa low oblique ni game nyingi za kisasa mfano gta zote na pia hata security camera zinazofungwa maofisini, mabenki na kwingineko ni mfano mzuri wa low oblique. Naiman umeelewa na kama bado karib mkuu.
Nmekuja hapa sasa wa jigrafia kdogo, uklaza pemben kdogo. Kuna tofaut kat ya hogh and low oblique. .ambapo kuna kuwa na tufauti ya nyuz toka pale inapopgwa picha kuelekea object huska..n
Serikali iendelee kukataza bangi tu jaman
Wanaswmaje hapo kijijini wanapokuona na iphone4 yako
Tofauti kubwa kati ya low na high oblique ni kwamba, low oblique inachukuliwa at low angle(45~89),high at high angle