kwa wanaojua kuhusu ulipaji wa kodi pale posta.

businezz_oligarch

Senior Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
145
Reaction score
35
wana Jf naomba kwa anayejua gharama za kodi unapoagiza vitu na kupitisha pale posta kutoka nje kama umenunua ebay au any site ya kuuza na kununua vitu, kwa vitu kama vitabu,saa,tablets kama ipads,simu za mkononi na nguo.kodi yake inakuwajekuwaje au inacalculetiwa vipi kwa mtu anayeagiza kitu kimoja kimoja...
 
Kodi ya pale ni ndogo sana mimi uwa natumia sana njia ya posta..hawana fixed ways za ku tax uwa kuna maelewano wanawezakukuanzia bei ya juu lakini ukisema ulichonacho mnasikilizana..mfano kuna siku nilituma flat tv sony 38'laptop ipad na nguo na zawadi ndogondogo nikalipa 80000/najaribu kukuonyesha malipo yao yalivyo...hivyo vitu unavyosema ni vidogodogo havina matatizo...kuna dada anayeusika na parcel ni mtu wangu sana ukikwama tuwasiliane lakini najua huwezi kwama hawana mambo mengi....+971504374387 dubai
 

Asante mkuu..lakin tatzo sio kukwama hasa tatzo ni ule wizi unaotokeaga sana pale..ngojea niku PM ili uweze kunipa msaada vizuri...
 

Nadhani wewe unamtumia huyo "dada" na kwa maelewano yenu anakusaidia!! Mimi nimeshaingiza suti pale, mbili from USA, ilinigharimu 200,000!!! Majuzi tu hapa, tumeingiza vipodozi kidogo tu, tena vyote vipo na risiti kuonesha bei iliyonunuliwa kule, tulilipa 140,000/=! Mwezi uliopita nimeingiza nguo za kike (magauni na tops kama 8 pcs hivi) hakuna iliyonunuliwa kwa zaidi ya $ 50, lakini malipo yake ilikuwa ni Tshs 120,000/=
....Kwa kifupi hawaeleweki
 
Kama nilivyokwambia hawana fixed charges ni kama bandarini tu,leo ukituma garii ni kiasi hiki na kesho ukituma ya vilevile ni kiasi tofauti..mimi sasa ni mwaka wa sita natumia posta parcel services hakuna kitu kilichopotea wala usumbufu wa kucheleweshewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…