digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Wakuu habari za Muda huu?
Naomba mwongozo juu ya yupi anayepaswa kumsalimia mwenzake ikiwa mmoja ana umri mkubwa kumliko bosi wake,mfano Mimi niwe na umri wa miaka 50 harafu bosi wangu ninaye mzidi umri awe na chini ya umri wangu,Je yupi anapaswa kutoa salamu ya shikamoo Kwa mwenzake?
Nimeuliza hili swali kwani juzi kazini kwangu tulitembelewa na mkuu wetu wa idara ,alipofika hakuweza kumsalimia mkuu wetu ambapo Kwa umri amebakiza miaka miwili astaafu,na mkuu wetu wa idara umri wake hauzidi miaka 45. Nilibaki kushangaa bila majibu!
Lakini pia Kuna siku nilitembelea ofisi za umma Kwa wakuu wangu wa kazi ,nilipofika ndani nilikuta watu wa rika langu ,Kiufupi sikutoa salamu ya shikamoo ,niliwasalimia habari za kazi tu,Lakini kitendo kile kiliwakera baadhi Yao,
Hivyo napenda kufahamishwa kipi ni sahihi juu ya salamu ya shikamoo Kwa mkubwa wa umri na mkubwa wa cheo!!!
Wasalaamu!!
Naomba mwongozo juu ya yupi anayepaswa kumsalimia mwenzake ikiwa mmoja ana umri mkubwa kumliko bosi wake,mfano Mimi niwe na umri wa miaka 50 harafu bosi wangu ninaye mzidi umri awe na chini ya umri wangu,Je yupi anapaswa kutoa salamu ya shikamoo Kwa mwenzake?
Nimeuliza hili swali kwani juzi kazini kwangu tulitembelewa na mkuu wetu wa idara ,alipofika hakuweza kumsalimia mkuu wetu ambapo Kwa umri amebakiza miaka miwili astaafu,na mkuu wetu wa idara umri wake hauzidi miaka 45. Nilibaki kushangaa bila majibu!
Lakini pia Kuna siku nilitembelea ofisi za umma Kwa wakuu wangu wa kazi ,nilipofika ndani nilikuta watu wa rika langu ,Kiufupi sikutoa salamu ya shikamoo ,niliwasalimia habari za kazi tu,Lakini kitendo kile kiliwakera baadhi Yao,
Hivyo napenda kufahamishwa kipi ni sahihi juu ya salamu ya shikamoo Kwa mkubwa wa umri na mkubwa wa cheo!!!
Wasalaamu!!