Kwa wanaojua protokali ni Sahihi mtu mwenye umri mkubwa kumsalimia mtu aliyemuzidi cheo (status), mkubwa kicheo?

Kwa wanaojua protokali ni Sahihi mtu mwenye umri mkubwa kumsalimia mtu aliyemuzidi cheo (status), mkubwa kicheo?

Na ndio maana jeshini hakuna hiyo salamu ya shikamoo, walijua italeta shidamahala fulani.

kwenye salamu wewe tumia kanuni za kijeshi tu hakuna atakayeweza kukufanya jambo lolote, labda abaki nachuki zake mwenyewe.

1. Ukikutanana aliyekuzidi madaraka salimia wewe
2. Mkikutanamnaolingana na wewe ukawa wakwanza kumuona anzishs salamu wewe. Ikiwa yeye ndio kaanza kukuona/kakukuta kaa kimya aanze salamu yeye.
3. Ukikutana na walio chini yako kimadaraka, kaa kimya wasalimie wao.
4. Wakija wageni ofisini mfano wakaguzi ukabaini wanamadaraka zaidi yako salimia, usipogundua kaa kimya wajitambulishe.
5. Wakija wageni na upo na kiongozi ofisini kwenu, kaa kimya muache kiongozi wenu ashughulike kwanza kisha ukibaini wapo walio juu yako wasalimie baada yakujuzwa na kiongozi wenu.

Zaidi ya yote yafahamu mazingira uliyopo na uimudu hali ya wakati husika na ujiamini.
 
Na ndio maana jeshini hakuna hiyo salamu ya shikamoo, walijua italeta shidamahala fulani.

kwenye salamu wewe tumia kanuni za kijeshi tu hakuna atakayeweza kukufanya jambo lolote, labda abaki nachuki zake mwenyewe.

1. Ukikutanana aliyekuzidi madaraka salimia wewe
2. Mkikutanamnaolingana na wewe ukawa wakwanza kumuona anzishs salamu wewe. Ikiwa yeye ndio kaanza kukuona/kakukuta kaa kimya aanze salamu yeye.
3. Ukikutana na walio chini yako kimadaraka, kaa kimya wasalimie wao.
4. Wakija wageni ofisini mfano wakaguzi ukabaini wanamadaraka zaidi yako salimia, usipogundua kaa kimya wajitambulishe.
5. Wakija wageni na upo na kiongozi ofisini kwenu, kaa kimya muache kiongozi wenu ashughulike kwanza kisha ukibaini wapo walio juu yako wasalimie baada yakujuzwa na kiongozi wenu.

Zaidi ya yote yafahamu mazingira uliyopo na uimudu hali ya wakati husika na ujiamini.
Ukiwaletea haya taasisi za kiraia . Watakuletea mafadhaiko sana😂😂
 
Magu alikuwa anasalimia watu we ni nani
Kutosalimia wakubwa kwa kuwa umewazidi vyeo ni kiburi cha kujiona umemaliza katika maisha hizo bado ni akili za kimasikini sana
Inawezekana kabisa hata wazazi huwasalimii kwa kuwa umewazidi mafanikio
 
Nimeuliza hili swali kwani juzi kazini kwangu tulitembelewa na mkuu wetu wa idara ,alipofika hakuweza kumsalimia mkuu wetu ambapo Kwa umri amebakiza miaka miwili astaafu,na mkuu wetu wa idara umri wake hauzidi miaka 45. Nilibaki kushangaa bila majibu!
Kwa maelezo haya wewe ni mwalimu.
Yaani ni idara gani hiyo ambayo watumishi mko wengi mpaka Mkuu wa Idara anavimba hivi???

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kwa maelezo haya wewe ni mwalimu.
Yaani ni idara gani hiyo ambayo watumishi mko wengi mpaka Mkuu wa Idara anavimba hivi???

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mkuu Kwani ualimu ni dhambi!? Ndiyo Mimi mwalimu,lete mwongozo sasa
 
Magu alikuwa anasalimia watu we ni nani
Kutosalimia wakubwa kwa kuwa umewazidi vyeo ni kiburi cha kujiona umemaliza katika maisha hizo bado ni akili za kimasikini sana
Inawezekana kabisa hata wazazi huwasalimii kwa kuwa umewazidi mafanikio
Mkuu Umesoma kichoandikwa Lakini !?
 
Back
Top Bottom