Kwa wanaojuwa hesabu tu: Uwiano wa Masaa 15 viewers Mil.1 na Masaa 120 viewers mil.2s

Hivi unajuwa maana ya Mil. 2s au ndio walewale vilaza? unadhani ile s imesimama badala ya nini, kama siyo kuwakilisha hiyo nyongeza
anayesema 2,952,508 ni Milioni mbili na kidogo hawezi kuwa smart enough kujifahamu
Now, jibu swali nililokuuliza:
Kwahiyo ungekuwa unafanya hesabu za makadirio, hiyo 2,952,508 ungeikadiria sawa na 2 Million sio?!
Kama kwako hiyo ni very complex arithmetic, we sema tu!
 
Kwa hiyo zilipendwa haikurushwa watsap, mbona hadi Leo zaidi ya mwezi sasa mnasema inazidi kuongeza viewers kwa kasi? au ndio ileile ya kununua imekolea
N anyie si mnunue-By Uhuru Kenyatta
 
Ndio mambo watanzania tunayopenda kujadili na kuyafwatilia
 
Wanaojua hesabu mtusaidie uwiano uliopo hapo, mbona kama idadi ya viewers zilikimbia spidi ya ndege masaa machache ya mwanzo na baadae zikaanza kwenda mwendo Wa Kinyonga?

Vipi kwa wanaojua hesabu, vipi mamba piko vizuri hapo?

karibuni
Wenzio wako kazini bro, na wewe fanya kazi life tight brother
 
Hivi unajuwa maana ya Mil. 2s au ndio walewale vilaza? unadhani ile s imesimama badala ya nini, kama siyo kuwakilisha hiyo nyongeza
Labda tu nikusaidie Kaka kutokana na hesabu tu za kawaida za Msingi.

Tulisoma hesabu za Desimali,
Na katika Desimali ukiona 2.1, 2.2, 2.3 mpaka 2.5, unaweza kuikadiria tu kama hapo ulivyoonyesha kwamba ni Mil 2s, s ikisimama kama nyongeza, au kidogo kama ulivyosema.

Ila,
Kwa mfano wa 2.6 na kuendelea mpaka 2.9999 ukisema hiyo ni Mil 2 na kidogo utakosa, utakuwa haujakomaa katika Desimali.

Sasa pale tunaona ni viewers more than 2.9 Million,
Unawezaje kusema ni Million 2 na kidogo/nyongeza wakati ni viewers chache tu zimepungua kufikia 3 Million?

Tafakari upya Kaka.
I stand to be corrected.
 
Wanaojua hesabu mtusaidie uwiano uliopo hapo, mbona kama idadi ya viewers zilikimbia spidi ya ndege masaa machache ya mwanzo na baadae zikaanza kwenda mwendo Wa Kinyonga?

Vipi kwa wanaojua hesabu, vipi mamba piko vizuri hapo?

karibuni

Inahitaji basic logic tu. Rate of viewership ilikuwa juu masaa 24 ya kwanza ikapungua over time. Hata movie kwenye box office zinaangliwa sana weekend ya kwanza na ya pili baada ya hapo rate inashuka
 
Wanaojua hesabu mtusaidie uwiano uliopo hapo, mbona kama idadi ya viewers zilikimbia spidi ya ndege masaa machache ya mwanzo na baadae zikaanza kwenda mwendo Wa Kinyonga?

Vipi kwa wanaojua hesabu, vipi mamba piko vizuri hapo?

karibuni
Kikubwa hapo ni kuvunja record tu mengine hapo utajiongeza mwenyewe mkuu!!
 
Umesema kweli kabisa ila hapo" Number ya viewers inapungua kadri siku zinavyoongezeka "nadhani sio sahihi ila RATE ndio inapungua kadri muda unavyoongezeka!


Rate is inversely proportional to time!!

I stand to be corrected
 
Sasa hilo nalo ni la kuhoji?! Ina maana hufahamu ngomainavyokuwa released majority wanakuwa online kuiangalia!

Btw, saa 120 si siku tano hizo?! Ina maana hizo views 2M zimefika jana?
Kwa hiyo kama alipata 2m views in a day, ulitegemea atapata 60m views baada ya mwezi? Akili nyingine ni tatizo.
 
There's nothing to be corrected cuz' you're right! 2.96 ukiingiza kwenye approximation ni 3M na katu huwezi kusema milioni 2 na kidogo!! Sasa kama 2.9 ni milioni mbili na kidogo, 2.2 au hata 2.3 tutaitaje!!!
 
Wanaojua hesabu mtusaidie uwiano uliopo hapo, mbona kama idadi ya viewers zilikimbia spidi ya ndege masaa machache ya mwanzo na baadae zikaanza kwenda mwendo Wa Kinyonga?

Vipi kwa wanaojua hesabu, vipi mamba piko vizuri hapo?

karibuni
Wanafizikia tunasema Elastic limit hapo.
 
usizunguke sana kifupi nyie nunueni viewers kama mnadhani domo anafanya vile maana mkibwana mbavu huwa mnarudi kwenye sbb za kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…