Kwa wanaokifahamu Slads Bagamoyo (maktaba)

Kwa wanaokifahamu Slads Bagamoyo (maktaba)

Ringo Edmund

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2010
Posts
4,879
Reaction score
1,126
Jamani mtoto wangu kapata nafasi chuo cha ukutubi bagamoyo naombeni mwenye kukifahamu na kuyajua mazingira anijulishe,pia nimeona kama hela ni kubwa,anataka kusoma certificate.
 
Jamani mtoto wangu kapata nafasi chuo cha ukutubi bagamoyo naombeni mwenye kukifahamu na kuyajua mazingira anijulishe,pia nimeona kama hela ni kubwa,anataka kusoma certificate.

mazingira ni mazuri na chuo kipo pazuri kipo mkono wa kulia kabla hujafika bagamoyo mjini (km chache to bagamoyo town)..hapo penye red sijui ulitaka kumaanisha nini kaa ukijua kila sehemu siku hizi elimu ni ghali,... akienda kila la heri kama ni wa kike mwambie asiendekeze starehe na kuendekeza party chuo cha sanaa.
 
Ki ukwel kama ni mtu wa kupenda starehe,bagamoyo ni balaah!
 
nitext humu #yako 0719297747
Kuna mke wangu pale kasoma certificate kamaliza mwaka huu mwez wa4 na mwez wa 9 kaanza diploma hapohapo kama upo serious NIKUPE NO ZAKE
 
Back
Top Bottom