Ni maswali mengi sana kuhusu mchakato huu wa katiba unaoendelea ambayo yananichanganya lakini leo naomba kuanza na wanaopendekeza serikali tatu wanisaidie kujibu baadhi ya maswali plz:
1: sawa, kutakuwa na serikali ya Tanganyika,Zanzibar na Shirikisho..Je viongozi wake wakuu wote wataitwa Rais?
(kama jibu la swali hapo juu ni ndio)
(i) Mgawanyo wa mamlaka na utawala utakuwaje?
(ii) Mkuu wa majeshi atakuwa yupi?
(iii) yupi atakuwa na mamlaka ya ardhi?
(iv) Itakuwaje kama may be zanzibar akishinda cuf,Tanganyika akashinda cdm na shirikisho akashinda ccm(kwa kuzingatia uhasama uliopo baina ya vyama hivi), kuna mwongozo wowote wa kutuongoza tunapoingia kwenye mkwamo(mfano mzuri kama unaoendelea bungeni kuhusu kura ya siri au wazi) kwenye issues zinazohusu maslahi ya kitaifa?
2: Kwa mfano mmojawapo anavamiwa na adui kutoka nje ni msaada gani atapaswa kutoa patina wa shirikisho?
3: may be kipato cha mmojawapo kinakuwa hohehahe ni mfumo gani wa financial support unatolewa(au inatumika kama sasa tunavyokopeshwa kutoka nje,may be zanzibar anakopeshwa na tanganyika)? etc etc
Jamani tunaomba wakati mnajadili mfumo wa muungano muwe mnatusaidia na kujadili na namna tutakavyoenda kwenye huo muungano.........na kama kuna mtu ana rasimu ya pili ya katiba atusaidie wengine kuileta hapa tuijadili hasa kwenye issues za muungano.
NAWASILISHA
1: sawa, kutakuwa na serikali ya Tanganyika,Zanzibar na Shirikisho..Je viongozi wake wakuu wote wataitwa Rais?
(kama jibu la swali hapo juu ni ndio)
(i) Mgawanyo wa mamlaka na utawala utakuwaje?
(ii) Mkuu wa majeshi atakuwa yupi?
(iii) yupi atakuwa na mamlaka ya ardhi?
(iv) Itakuwaje kama may be zanzibar akishinda cuf,Tanganyika akashinda cdm na shirikisho akashinda ccm(kwa kuzingatia uhasama uliopo baina ya vyama hivi), kuna mwongozo wowote wa kutuongoza tunapoingia kwenye mkwamo(mfano mzuri kama unaoendelea bungeni kuhusu kura ya siri au wazi) kwenye issues zinazohusu maslahi ya kitaifa?
2: Kwa mfano mmojawapo anavamiwa na adui kutoka nje ni msaada gani atapaswa kutoa patina wa shirikisho?
3: may be kipato cha mmojawapo kinakuwa hohehahe ni mfumo gani wa financial support unatolewa(au inatumika kama sasa tunavyokopeshwa kutoka nje,may be zanzibar anakopeshwa na tanganyika)? etc etc
Jamani tunaomba wakati mnajadili mfumo wa muungano muwe mnatusaidia na kujadili na namna tutakavyoenda kwenye huo muungano.........na kama kuna mtu ana rasimu ya pili ya katiba atusaidie wengine kuileta hapa tuijadili hasa kwenye issues za muungano.
NAWASILISHA