KWA WANAOTAKA KU-RESIT NECTA 2013 NA WENYE KUJIUNGA NA A LEVEL, soma hapa!

Mkuu mbona matokeo yanatisha!
https://www.jamiiforums.com/matokeo2012/data/s0741.htm
Mna mkakati upi kuondoa hali hii.

Mkuu tuna mikakati mizuri hata sasa, sema pengine baadhi ya wazazi na wanafunzi hawaendi na programu zetu, na hatuna programu ya kuchuja kwa kuwa pia tuna hitaji kuona hata wasio jiweza wanafanikiwa angalau. Ila kwa wanafunzi wazuri na wazazi wanaofuata programu zetu vizuri wanafanikiwa japo kwa uchache. Bado tuna brainstorm tufanyeje, je tuingie kwenye mfumo wa shule zinazo chuja? still doing research!
 

sio unafiki mkuu, pia lugha yako si ya kiungwana! kama kuna weakness hata sisi kwetu ni challenge tunajaribu kurekebisha, ndo maana hostel ya kiume ilikuwa kule mbali na shule, kwa sasa tumeleta ndani ya shule, na tunaganga bajeti zetu ili kuwa na full hostel protection! mengi yanaendelea kufanywa, mtu wa nje sio lazima akajua tuna plan nini! MKUU tuletee tu watoto, mawazo yako ni mhimu pia ila sio kejeli, na unajua shule ni ASSET pia ni source ya ajira kwa wengi wakiwemo rafiki, ndugu na jamii ya kitanzania. So tupeane ushauri ili tuboreshe!
 

vipi kwenye suala la maadili maana mimi ni mmoja wa zao la shule za wazazi o'level nimepiga Sangu Sec. wakati huo nilikuwa katibu wa shule za wazazi mkoa wa mby so napafahamu vilivyo Itende. Ila usijari naweza tokea hapo j4.
 
vipi kwenye suala la maadili maana mimi ni mmoja wa zao la shule za wazazi o'level nimepiga sangu sec. Wakati huo nilikuwa katibu wa shule za wazazi mkoa wa mby so napafahamu vilivyo itende. Ila usijari naweza tokea hapo j4.

karibu mkuu, tena wewe mdau mkubwa wa shule hizi, tunategemea utasaidia ushawishi kwa wengine!
 
DIV O= 143 zero kabisa ikifuatiwa na I=1, II=1,III=10,IV=55. KWAHIYO HIZO NI POROJO TU. LABDA KAMA ST FRANCIS WAKIANZISHA HIZO PROGRAM OTHERWISE MABO NI YALEYALE
 
DIV O= 143 zero kabisa ikifuatiwa na I=1, II=1,III=10,IV=55. KWAHIYO HIZO NI POROJO TU. LABDA KAMA ST FRANCIS WAKIANZISHA HIZO PROGRAM OTHERWISE MAMBO NI YALEYALE
 


Moja ya sababu ya matoke kuwa mabaya ni pamoja na wazazi kutokujua na kutokutaka kuuliza ushauri kutoka kwa wadau wengine. Mtoto anapata ziro kwenye mtihani halafu unarazimisha arudie unategemea nini.
 
DIV O= 143 zero kabisa ikifuatiwa na I=1, II=1,III=10,IV=55. KWAHIYO HIZO NI POROJO TU. LABDA KAMA ST FRANCIS WAKIANZISHA HIZO PROGRAM OTHERWISE MABO NI YALEYALE

sasa st francis ni Itende sec.? uamuzi ni wako, ndio maana kuna shule nyingi, kwa taarifa yako, hata baadhi ya government schools hazina hata div 1! ada ya st,francis mzazi wa kawaida ni kitendawili, wacha tusaidie mwenye kutoka kielimu hata Itende ni poa tu, ndio maana Div 0 ZILO ALMOST SHULE ZOTE!
 
Mkuu IPILIMO vipi umepata wanafunzi wa kutosha hapo shuleni itende sec?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…