Ni computer science cert and diploma pia tunatoa short course kwa wiki 5 na kwa bei nafuu
Diploma kama una principal plus subsidiary moja unaingia direct au uwe umesoma chuo chochote kinachotambulika na nacte unaweza ukajiunga pia
We mgumu why unauliza hvyo au nahisi akili yako si nzuri watu wanahtaj elimu unauliza swali kama upo chekechea