Kama kichwa kinavyojieleza,kwa wewe mwenye influence hiyo nitafute kwa kuni PM.Ni miti ya mbao aina ya pines.
Ni maeneo ya Iringa Wilaya ya Kilolo maeneo ya Dabaga.
Wastani kwa mti 1 wa miaka
1 ni tsh 500-1000
2 ni tsh.1000-1500
3 ni tsh.1500-2000
4 ni tsh.2000-2500
5 ni tsh.2500-3000
Nyote mnakaribishwa.
Ni maeneo ya Iringa Wilaya ya Kilolo maeneo ya Dabaga.
Wastani kwa mti 1 wa miaka
1 ni tsh 500-1000
2 ni tsh.1000-1500
3 ni tsh.1500-2000
4 ni tsh.2000-2500
5 ni tsh.2500-3000
Nyote mnakaribishwa.