Namwamini Mungu tu alie juu atupae sawasawa na atakavyo yeye, sio kwa michakato hii ya kimizimu. Wenda hata unakuta unaita majini, mwishoe wanazaliwa watoto wa maajabu.
Muunganiko wa kibailojia unaotoa mapacha cdhani kama una uhusiano na haya mamizimu.
Mungu akipenda uwe na pacha atatoa tu. Kila la kheri mtakaojaribu