Kwa wanaotaka kuzaa mapacha

kula vizuri sana.alafu ingia kwenye mechi ukipata mmoja au pacha mapenzi ya mungu
 
real.....afu anakwambia usiku huo usifanye mapenzi ina maana mkeo atagegedwa na nani? kama sio majini
 
duu maprocess yooote hayo kisa nataka pacha tu
Kama ndio hvyo bas mapori yote yangejaa tents na vibanda KWA ajili ya kuwahifadhi hao watu wanatafuta hiyo miti, maana mijini cdhani km IPO na hata km IPO hzo proces ulizozielekeza kila MTU atakuona unawanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…