Tareman
Member
- Jun 3, 2019
- 53
- 33
Habari zenu viongozi? mimi ni mzima wa afya.
Hivi kuna malipo yoyote yanatakiwa endapo umeshitakiwa baraza la kata?
maana nimeambiwa nitoe elfu 30,000/= ya nauli.
Naombeni msaada wenu, hili suala limekaaje wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna malipo yoyote yanatakiwa endapo umeshitakiwa baraza la kata?
maana nimeambiwa nitoe elfu 30,000/= ya nauli.
Naombeni msaada wenu, hili suala limekaaje wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app