Kwa wanaume Tu....I fainally Got....

Kwa wanaume Tu....I fainally Got....

TF nimegundua kua huyu hatakiwi maneno, hiyo mipango inabidi kufanya kwa ACTIONS.... Usije pata headache nawewe pia... Unaonaje Mpotezee!! what do you think???

Unajisumbua tu kumuomba TF anipotezee
Huyo ni Master wangu tangu tunakua
Hawezi kunichakachua kwa ishu ndogo ka hii
Anajua jinsi ninavyoumia kwa ajiri yako

Hands - Up!!! Jisalimishe!!!!!!!!!!
 
amusing. i would like to know the editor na gender yake. hakuna aliyekifanyia book review?
 
Back
Top Bottom