Kwa Wanaume TU- Jamani Jembe!!

Kwa Wanaume TU- Jamani Jembe!!

Wakuu nimepokea PM kutoka kwa mshikaji anaulizia kwa wazoefu hivi mwanaume akikaa miaka kama kumi bila kufanya tendo, jembe lake litakuwa kubwa ama litapungua?

mi nashauri hebu jaribu kukaa hiyo miaka kumi uone itakuaje halafu uwape wanaume wenzio majibu yaliyo na uhakika maana majibu utakayopata hapa yote ni assumption,fanaya practically,sory nimewajibia wanaume though am girl ila nadhani mchango wangu ni productive
 
kuna law ya use and disuse... shingo ya twiga na mkia wa sungura

ni mawazo tu

Wakuu nimekumbuka biolojia ya kidato cha sita, mwenzenu sikusoma shule za kata !Kwenye evolution biology kuna law of use and disuse which states that the size of a structure is modified by how much it is used. Kwa maana hiyo kama jembe linatumika sana basi litakuwa kubwa sana lol (Namkumbuka Liyumba) na kama halitumiki basi litapoteza kazi yake (Vestigial organ). Wazee hii vipi?
Nyie watu mmenifurahisha sana....

Kwahiyo watu kama Pope and co watakuwa wana tubamia? Na majemedari kama kina Liyumba and co?

Vipi na wale wataalam wa kutumia mtandao wa kujiexpress?
 
Nyie watu mmenifurahisha sana....

Kwahiyo watu kama Pope and co watakuwa wana tubamia? Na majemedari kama kina Liyumba and co?

Vipi na wale wataalam wa kutumia mtandao wa kujiexpress?

I am missing Fidel80!
 
linabaki vile vile lakini kipimo kamili cha jembe la mtu ni sawa na kidole cha kati cha mkono tokea nchani mpaka kwenye juu kidogo ya centre ya kiganja exactly sawa na pale mwanzo wa mstali wa kidole gumba kama ukichora L hivi ndo unapoipata size yenyewe.
kwenye kona ya kidole cha kato na kidole gumba ndio kitu chako kawaida kikiwa mnara.
:becky::becky::becky:kobe kumbe una kibamia :becky::becky::becky:
 
Miaka 10? huko anakoishi hakuna wanawake? hata wa kununua kwa masaa machache? au anaondoka na nyeto sana?
 
Na wewe nikiangalia vidole vya miguu yako, hasa cha kidole cha kati, najua depth ya kimwaga mkojo chako...bisha na hapa!

nikusaidie...vina kinafac kikubwa....ndio kusema?
 
Sure! Na mwanamme rijali anayekaa miaka kumi bila kukandamiza, mi nadhani ana matatizo. Ningekuwa Mungu ningemnyang'anya hicho kifaa na kumpa kile cha jinsia nyingine. Hayo ni matumizi mabaya ya kifaa cha kazi! God forbid!

[

taratibu Aspirin, usiwatukane mapadre na maaskofu!wakikusikia shauri yako!!!!!!!!!1
 
itakuwa hivyo mpaka imempotezea ladha ya warembo...ni kama Masanilo tu.

Hahahaha Jamani napenda kupiga ukunga ile mbaya! Hata nikiwa ofisi huwa nenda bath room napata chap chap naendelea na kazi na kumwangalia Nyama Bint Yao
 
nikusaidie...vina kinafac kikubwa....ndio kusema?
Mambo mengine hayafai hapa jamvini lol! Dada umepinda sijapata kuona lol!

Manake kwa uzoefu wangu kama vidole vimeachana kwa nafasi kubwa...hivi mfereji wa Suez ukoje vile?
 
Back
Top Bottom