Kwa wanaume tu: Kwenda la pili huwa unachukua sekunde au dakika ngapi?

Unaongea kama mtaalamu wa afya au unaropoka tu
 
Unazungumzia jando ambalo kisu kimoja kinatumika kukata watu zaidi ya wawili ??? Huko jando ndo unakotoa elimu ya Afya???
Nadhani hili ndilo tatizo la watoto wa kisasa kutotahiriwa wala kupelekwa kwenye jando na unyago. Wanauliza vitu ambavyo wanapaswa kujua hata kabla ya kupepesa jicho.
 
Kuna wanawake watundu bana.nikikutana na yaliyochoka au yanayojifanya mapenzi ni kuongea luggha za kilaghai laghai huwa ni kimoja tu .ila kuna watu watundu no time to waste mpaka unaona umetendewa haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…