Kwa wanaume tu: Njia ya kuzuia kufikia kilele (kupizi) haraka

Papara ndio zinawaponza wanaume wengi
 
HEAVEN ON EARTH uko wapi?madam b uko wapi
heshima kwenu
 
eti unafika golini then unabana, unatuliza aaaaah mechi ainogi
funga goli then tafuta lingne but thanks kwa somo
Nyie tanieni huu ushauri ,mtakapo kuja fumania siku moja halafu utetezi wa bibie unakwenda hivi" nisamehe mume wangu ,kweli mi nakupenda sana ila hainitoshi" ndio mtajua shida ya mabao ya chap chap!mkong'oli moja tu reeeefu uone heshima inavyoongezeka ndani ya nyumba!ukichelewa kurudi tu "uko wapi mume wangu" au 'nikupitie ofisini turudi wote' badala ya wewe kumpitia yeye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…