KWA WANAUME TU (no ladies plz)

Jaribu kujiuliza kwa wale wenye mamihogo ya kufa mtu,..!!
Mluzi wake si nikama vuvuzelaa ,,.....haaaaa keke eeeeeeee
 
wanaume wengi wangeshitakiwa kwa contempt of court endapo,kesi inaendelea na akapita mwnamke anayetamanisha,isipokuwa kama jaji au hakimu ni mwanaume basi itabidi akauke tu

hiii haaa hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihiii hiiiiiiiiiii
 
Hivi thread kama hii ina manufaa gani? Naomba kujuzwa.
Kulinda ujana,...
Cheka kwa afya siyo kila kukicha unaumiza kichwa tuuuuuuuuu kuwaza mafisadi,maisha magumu utanunua lini gari mpya nk.
 
Kulinda ujana,...
Cheka kwa afya siyo kila kukicha unaumiza kichwa tuuuuuuuuu kuwaza mafisadi,maisha magumu utanunua lini gari mpya nk.

Akili isiyotumika inapoteza sharpness..
 
.................. Mimi ni mwanamke tena rijali lol (Hivi na wanawake wanaweza kutumia hiki kisifa?-rijali?)

😛 Ndio. manake ni kwamba ni mwanamke uliyekamilika, waujua mchezo, una uwezo wa 'kufunga magoli', yaani kama gari iliyo kwenye order ikitiwa ufunguo na ikapata 'dereva mzuri' basi 'yenda mbio'! salale!
 
😛 Ndio. manake ni kwamba ni mwanamke uliyekamilika, waujua mchezo, una uwezo wa 'kufunga magoli', yaani kama gari iliyo kwenye order ikitiwa ufunguo na ikapata 'dereva mzuri' basi 'yenda mbio'! salale!


Ufafanuzi mkuu. Mwanamke ana uwezo wa kufunga magoli au kufungwa magoli?
 
😛 Ndio. manake ni kwamba ni mwanamke uliyekamilika, waujua mchezo, una uwezo wa 'kufunga magoli', yaani kama gari iliyo kwenye order ikitiwa ufunguo na ikapata 'dereva mzuri' basi 'yenda mbio'! salale!

Huyu hakuna kitu ana mbwembwe tu mbona anashindwa kujiexpress!!!
 
leo nimecheka sana. sijui mwenzetu ulifikiri nini ukaandika hivyo. thanks for laughter of the day
 
ujue kungekua na miluzi mingine hata makanisani, sipati picha umesimama kwenda kutoa sadaka mara limluzi kama honi ya Fuso!!!!
 
Ufafanuzi mkuu. Mwanamke ana uwezo wa kufunga magoli au kufungwa magoli?

Mkuu wewe bado kupata kuona mwanamke akifunga goli? aisee utakuwa bado sana kwenye uzoefu! LOL
 
Mkuu nimecheka sana tena sana
Ila naomba uchague mji
 
Tungeliumbwa na hiyo miluzi basi kusingelikuwa na taabu. Ona wa-Hadzabe wa Manyara, Wa-Dinka wa Sudan Kusini na Hata Bushmen wa Bondeni wanapiga miluzi ya majamboz na hakuna taabu. Wameikubali hali. Na sisi tungekubali. Kutongoza ingekuwa simple sana.
 
Kulinda ujana,...
Cheka kwa afya siyo kila kukicha unaumiza kichwa tuuuuuuuuu kuwaza mafisadi,maisha magumu utanunua lini gari mpya nk.


thnx mkuu ..! jibu zuri sana..! cheke unenepa, sio kila siku unasoma thread za kukupandisha presha.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…