Kaizer, mwambie aseme kwa mfano...hommie watch out,,,nilidhani unasema 'kwa mfano'......dah
Biologia ya mjengewa je haihusu? cause K_H anaweza kuwa na uzoefu mdogo wa matumizi lakini kiumri kamzidi SL je?
Na wewe unafanya nini huku kwenye sredi ya wanaume?
Khaa!:gossip:Kaizer, mwambie aseme kwa mfano...
Nimekuelewa ingawaje nimecheka kwa loud spika...sina hakika kama kweli hiyo ndio maana halisi ya nyumba ndogo...Afu we imekuwaje........ mi ndo nshakuwa mtaalamu wa nyumba ndogo siyo?
Orayt Sweetlady na Hommie
Nyumba ndogo kwa muktadha huu ni udogo wa umri katika matumizi ya baiolojia ya mjengaji......
Kama nimemchukua Keren Happuch mwaka huu, wakati mwakajana jana nlishakuwa na Sweetlady, automatically Keren Hapuch atakuwa na umri mdogo wa matumizi ya baiolojia yangu kulinganisha na Sweetlady..... hence automatically K_H atakuwa nyumba ndogo........... umenielewa hapo eh?
Itakuwa ni nyumba kubwa na ndogo hapo, hapo!ahahahahaaaaaaaaaaa!..na kama bado haujaoa_ni nyumba kubwa au ndogo
Hapa mnaulizia idadi ya nyumba ndogo? I mean, the number of smaller houses allowed by 'the law'?
Itakuwa ni nyumba kubwa na ndogo hapo, hapo!
hahaha,...huwezi kuwa na nyumba kubwa au ndogo kama hujajenga kwanza nyumba yenyewe.......Igweeeeeeeeeeeeeeee
Ambacho ningependa hasa tufikia muafaka ni kwa nini ziliitwa 'nyumba ndogo'?
Karibuni tushee maexperience hapa......
We ni kubwa au ndogo?:drum:Yeuwiiiiiiiiiiiiii nyie wanaume mnaongelea nini hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hehehehe!...
hapa nitakuwa mtazamaji tu...!
two years in marriage hazitoshi kuielezea nyumba ndogo kwa undani wake!...naamini bado sijakutana na mikiki-mikiki ya kunipa msukumo wa kujenga hako kajumba kadogo....though i hope yatanikuta tu.nitakuwa mwongo na mzushi....!
i will be watching!
Hivi Husni kwa uporoto wewe ni nyumba ndogo au kubwa?..Yaani kaizer hujui kwanini nyumba ndogo zimeitwa hivyo??