Aspirin hapa umelikoroga,hivi Lizzy yuko wapi akutie bakora za kisawasawa?Hivi waweza ulizia chanzo cha shina wakati mizizi waiona..... Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja.... Ndio chanzo/sababu kuu.... Hivi tuking'ang'ania mwanamke mmoja, hao wanawake wengine waliokosa wanaume wa kuwalala, nani atawatiisha kiu yao?
Yaani kaizer hujui kwanini nyumba ndogo zimeitwa hivyo??
Hahaha... Ndo nasubiri anipe jibu..SL.......hapa sijui itakuwaje but hili swali hili.....la muhimu sana....hahaha
Hivi Husni kwa uporoto wewe ni nyumba ndogo au kubwa?..
Imagine....hebu niambie kidogo japokuwa umesneak in...
Kuna jamaa angu ana nyumba ndogo ndani yake tena ana nyumba ndogo ndani tena kuna nyumba ndogo.
Maanake ana nyumba ndogo inamdogo ake jamaa nayo anaimega mdogo anamdogo ake nae anammega
Hapo ndani ya nyumba ndogo moja kuna vijumba vidogo viwili size tofauti
zimeitwa hivyo kwa sababu kubwa tayari ipo. Kusingekuwa na nyumba kubwa hiyo ndogo ingeitwa kubwa.mia.
Jamani! Jamani! Jamani! Is it?Kuna jamaa angu ana nyumba ndogo ndani yake tena ana nyumba ndogo ndani tena kuna nyumba ndogo.
Maanake ana nyumba ndogo inamdogo ake jamaa nayo anaimega mdogo anamdogo ake nae anammega
Hapo ndani ya nyumba ndogo moja kuna vijumba vidogo viwili size tofauti
Mpwaa banaa hii lazima itakuwa ni migomigo tuKuna jamaa angu ana nyumba ndogo ndani yake tena ana nyumba ndogo ndani tena kuna nyumba ndogo.
Maanake ana nyumba ndogo inamdogo ake jamaa nayo anaimega mdogo anamdogo ake nae anammega
Hapo ndani ya nyumba ndogo moja kuna vijumba vidogo viwili size tofauti
Hivi siku nyumba ndogo inaibuka nyumbani kwako ina mtafuta mumeo utafanyaje??Jamani! Jamani! Jamani! Is it?
Lol... Angalia isijekuwa uko ndani ya vijumba vingine....yaani hata sijielewa. Naona mi kijijumba kidogo dogo.
khaaaa! Mwishoni atawasahau hadi majina.
Mpwaa banaa hii lazima itakuwa ni migomigo tu
Khaaa! Tema mate chini, manake ntakachofanya hakijawahi kufanywa na yeyote chini ya jua...lol... Na huyo nyumba ndogo atakuwa anajiamini kiasi gani mpaka aje nyumbani kwangu?Hivi siku nyumba ndogo inaibuka nyumbani kwako ina mtafuta mumeo utafanyaje??
Jamani! Jamani! Jamani! Is it?
Kuna wengine acha nao kabisa wanajiamini balaaKhaaa! Tema mate chini, manake ntakachofanya hakijawahi kufanywa na yeyote chini ya jua...lol... Na huyo nyumba ndogo atakuwa anajiamini kiasi gani mpaka aje nyumbani kwangu?
Khaaa! Tema mate chini, manake ntakachofanya hakijawahi kufanywa na yeyote chini ya jua...lol... Na huyo nyumba ndogo atakuwa anajiamini kiasi gani mpaka aje nyumbani kwangu?
Mh!...aisee huyo atakuwa sio nyumba ndogo...khaaa!...Kuna wengine acha nao kabisa wanajiamini balaa