Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu,WanaJF,
Tafadhali kwa wale wajuzi wa madawa ya kuongeza nguvu, naomba wanipatie uzoefu wao. Ni dawa gani inayofaa na yenye madhara kidogo?
Hebu jaribu kukimbia kilomita 30 kila siku asubuhi
halafu uniambie after one month....
hiyo ni zaidi ya marathoni ama unamaana akimbie kwa muda wa dak 30?
WanaJF,
Tafadhali kwa wale wajuzi wa madawa ya kuongeza nguvu, naomba wanipatie uzoefu wao. Ni dawa gani inayofaa na yenye madhara kidogo?
we hujakosea njia kwelinguvu gani mnazozingumzia hapa?za kiume??? kama nguvu za kawaida beba vyuma lol,ingia kny mafunzo ya judo/kung fu lol:laugh::laugh::laugh::coffee:
WanaJF,
Tafadhali kwa wale wajuzi wa madawa ya kuongeza nguvu, naomba wanipatie uzoefu wao. Ni dawa gani inayofaa na yenye madhara kidogo?
kunywa maji ya betri!
Mkuu nguvu za wapi, chini au juu kuwa specific kidogo???
kama anakili 120...una madakesi:coffee:Hebu jaribu kukimbia kilomita 30 kila siku asubuhi
halafu uniambie after one month....