kwa wanaume tu

umeona ennh?
Mwenyewe kakataa sivyo!Binafsi sioni kulikua na umuhimu gani wa kuuliza swali kama hili jamvini ilhali mumewe anapenda...angesema hapendi ndo ingekua sahihi ZAIDI kuuliza ili ajue wengine wanaonaje na anawezaje kusaidia mambo yawe mazuri.Kila mtu akija ulizia kiungo chake kinachosifiwa huko chumbani kinachukuliwaje na wanaJF si itakua balaa!!Nwy hongera dada/mama kwa kupata majibu uliyohitaji au sijui uliyotaa!
 
Hongera dada kwa kujaliwa kitumbua,mi sikijui ningetamani nikione chafananaje.
 


well said Madam Kelea...hapa ndio JF jamvi la Great Thinkers
 
Tumia tu simu yako ya kiganjani, piga picha weka jamvini, then itajulikana kama kweli hilo litumua lako linalipa au la hasha.
 
asante kwa kunifumbua macho, kumbe alkuwa anatangaza biashara...looh dada wee, kitumbua chake inaonekana nyam nyam.!

Umekiona au umekionja...........................taarifa hizi zaonyesha kuna mengi wayajua wakati mwenywe amedai hakuna aliyekichungulia zaidi ya mzee wake pale home sweet home...............
 
mume wangu ni mwanaume wangu wa kwanza (uhusiano wa kimapenzi) so nakosa reference yakujiridhisha na jambo hili
nijuzeni waungwana

mume wako kelea yaelekea yeye ni mzoefu hata akaweza kukupatia taarifa nzito kama hizo zenye kuhitaji malinganishi ambayo siyo simulizi bali ya kushiriki kwa mazoezi ya vitendo.................
 
1) je ni kweli wanaume wanafurahia hali hii au maumbile haya? KWANINI?

Hivi Kelea ukifahamu wanakipenda hicho kitumbua chako kilichoumuka kama kimetiwa baking powder au hamira yaani yeast but not "yeast infection" hao jamaa wataka wakionje au iweje??????????????????????
 
Sangara acha utani bana maswali mengine mtumie kwenye PM

Bila ya sisi kuiona kama mume wake anavyoichungulia kweli tutaweza kuyajibu maswali magumu kama haya kinadharia ambayo ni ya kuhisia tu wakati picha twaweza kutumiwa ili tutoe mchango kamilifu...............................................usyo na zengwe hata chembe.........................
 

ladies will always remain ladies!!
 

nani kakunyima kuuliza?
 
Hivi Kelea ukifahamu wanakipenda hicho kitumbua chako kilichoumuka kama kimetiwa baking powder au hamira yaani yeast but not "yeast infection" hao jamaa wataka wakionje au iweje??????????????????????

Mkuu umeua kabisa
 
.mume wangu mara nyingi amekua akinisifia kuwa 'kitumbua changu

Hii imenikumbusha thread mmoja ililetwa hapa akijisifia mumewe amemwambia kitumbua chake kitamu.......leo imekuja hii.........Mumeo alishakusifia ulikuwa unataka nini tena.............weka na contact zako nao waonje wakusifie
 
Wee mama wewe!!!!
 
Sangara acha utani bana maswali mengine mtumie kwenye PM
kwa kuwa ameuliza hadharani ndio maana nikamwambia atuwekee picha hapa hapa!angeuliza kwenye PM ningemjibu kule kule.upo hapo mkuu Mvumbuzi? hebu tupe uzoefu wako kwenye uvumbuzi wa mbumbua.
 
Acha umbea....nimesema wapi nimenywimwa?!

mhh...mbea ni mimi au wewe uliyeanza kumshambulia mwenzako kwa madai ya kutangaza biashara! Na kabla ya yote topic ni kwa wanaume! Kazi kweli kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…