Kwa wanaume tu!

Achana na wanaume. Fanya mambo mengine
 
Una uhakika unawazungumzia wanaumenhapa au wanawake?!

Maana sijawahi kusikia kigezo cha mwanaume kuwa na mwanamke kuwa ni kazi..... Ila wanawake ndio magwiji wa kuchagua wanaume kwa vigezo vya kazi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika unawazungumzia wanaumenhapa au wanawake?!

Maana sijawahi kusikia kigezo cha mwanaume kuwa na mwanamke kuwa ni kazi..... Ila wanawake ndio magwiji wa kuchagua wanaume kwa vigezo vya kazi....

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichokizungumzia nimekishuhudia kwa ke zaidi ya watatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…