Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli wanawake ndo wanaongoza kwa vijitabia vya uchaguzi wa wenza hasa pale anapoujua ukweli kuhusu kipato cha mwenza! Unakuta mlishapanga na mipango yote ya ndoa lakini mdada anakusaliti hivivi , kisa kampata Bossi wa kampuni flani!
Ni kweli lakini hata ninyi mnafanya hayoKiukweli wanawake ndo wanaongoza kwa vijitabia vya uchaguzi wa wenza hasa pale anapoujua ukweli kuhusu kipato cha mwenza! Unakuta mlishapanga na mipango yote ya ndoa lakini mdada anakusaliti hivivi , kisa kampata Bossi wa kampuni flani!
[emoji23] Khaaaa basi sisi wengine tusubiri kufa tuKama wewe ni mama ntilie pamoja na kazi kama hizi ulizotaja hapo juu huruhusiwi kuwa kwenye mahusiano![emoji41][emoji41][emoji41]
Qui êtes vous?
Mimi ni me, kwani hujui?We ni jinsia gani kakichwa ??? Mchanganyo mchanganyiko
Happy dude [emoji67][emoji538]
Wasalaam!
Wakati mwingine wanaume hamjui mnachotaka au mnakuwa mnawaza nini! Unakutana na mdada anakueleza tu ukweli kwamba kazi yake ni kuuza mkaa, au mama ntilie, au mfagiaji wa maofisini au kazi yoyote zile zinazoonekana hazina hadhi, wewe unamkwepa na kama mlikuwa mnawasiliana unakata mawasiliano kwa nini?
Kwamba wenye kazi hizo tajwa hapo juu ni vimeo, au hawana hadhi au wana nini? Mnataka mdanganywe ooh, mi ni banker, teller, nna botique yangu sinza niko TRA pale makao makuu! Alafu mkija kugundua ukweli mnawalaumu wanawake wana fake maisha?
So which is better kwenu hebu wekeni wazi, tuendelee kuwadanganya ili twende sawa au tuwe wakweli tu?
Majibu yenu ni muhimu.
Have a good time to finalize the weekend!
[emoji8]
BravooMie napenda muwazi, bahati mbaya katika maisha yangu sijawahi kumpata mdada mzuri ambaye nikampenda alfu eti baada ya kujua kazi yake nikaacha kuwasiliana naye.! To me, what she does for a living don’t matter at all, what matters is Does she likes me same as i love her.
Happy dude [emoji67][emoji538]
Poa mzee babaMmmh kuna mahali niliona unajibu kama mwanamke hivi. Lakini isiwe shida jombi.!
Happy dude [emoji67][emoji538]
Hao si ndo mnaowataka sasa, ukimpata mfagizi wa ofisi hwez kukukimbiaNyinyi mbona tukiwambia sisi wengine ni dayworker au wapiga debe au nachoma miguu ya kuku stand mnatukimbia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wewe
Huyo atakuwa ana tamaaKiukweli wanawake ndo wanaongoza kwa vijitabia vya uchaguzi wa wenza hasa pale anapoujua ukweli kuhusu kipato cha mwenza! Unakuta mlishapanga na mipango yote ya ndoa lakini mdada anakusaliti hivivi , kisa kampata Bossi wa kampuni flani!
Inachekesha eeh