Kwa wanaume tu!


Mie napenda muwazi, bahati mbaya katika maisha yangu sijawahi kumpata mdada mzuri ambaye nikampenda alfu eti baada ya kujua kazi yake nikaacha kuwasiliana naye.! To me, what she does for a living don’t matter at all, what matters is Does she likes me same as i love her.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Bravoo
 
Kiukweli wanawake ndo wanaongoza kwa vijitabia vya uchaguzi wa wenza hasa pale anapoujua ukweli kuhusu kipato cha mwenza! Unakuta mlishapanga na mipango yote ya ndoa lakini mdada anakusaliti hivivi , kisa kampata Bossi wa kampuni flani!
Huyo atakuwa ana tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…