Kwa Wanaume: Ukifuata diet ya Prof. Janabi ulijari wako Kitandani umekwisha

Kwa Wanaume: Ukifuata diet ya Prof. Janabi ulijari wako Kitandani umekwisha

jojipoji koromije

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,024
Reaction score
1,466
Wasalaam Wana JF. Ndugu wanaume tujihadhari sana na huu ushauri wa Prof Janabi anaetamba sana Mitandaoni kwasasa kuhusu kufanya diet. Mojawapo ya mambo anayosisitiza sana ni Kutokula Chakula cha Wanga (Carbohydrates).

Nawatahadharisha wanaume wenzangu ili upige show kwa mkeo, girlfriend na hata mchepuko unahitaji nguvu za kutosha. Na hii nguvu unaipata kwa kula vyakula vya wanga.

Sikatai hata hizo protein Au fatty food na vegetables zinaweza kukupa calories(nguvu) lakini ni kwa kiasi kidogo sana!! ambayo haiwezi kukusaidia kupata nguvu za kufanya mapenzi na mwenza wako. Utakuwa dhofri hali, mashine itasimama kwa taabu sana! Na ikisimama itakuwa goi goi sana!

Mwisho wa siku mwanamke atakuona huna nguvu za kiume, atakutana na bodo boda kashiba ugali nyama kutoka kwa mama lishe atampelekea moto na mwisho mnasambaratika katika mahusiano. Kuweni makini na ushauri wake.

Ili upige show kikamilifu unahitaji nguvu (energy) inayotokana na wanga. Msije mkasema sijawaambia.
 
Tendo la ndoa sio kula sana mana kumudu tendo inategemea na mishipa inavyotiririsha damu jaribu uwe una tumia chai yenye asali mbichi na tangawizi nakufanya mazoezi kila siku
 
........mnatuchanganya sasa, tule au tusile, halafu nguvu za kiume ni zipi na za kike ni zipi, na pia zisizo na jinsia ni zipi, lakini yeye ni doctor janabi then wewe ni doctor nani, but all in all binafsi huwa naona ishu ya nguvu za kiume sijui za uume ni it is more psychological than biological, labda kama mtu ni mgonjwa........
 
Ugali nikila huwa napiga shoo zangu za kutosha mapaka mbususu inachemka moto, dakika 45, mpaka niambiwe umetosha tayari ndio nachomoa
 
Tendo la ndoa sio kula sana mana kumudu tendo inategemea na mishipa inavyotiririsha damu jaribu uwe una tumia chai yenye asali mbichi na tangawizi nakufanya mazoezi kila siku
Hivyo vitu vyote ulivyotaja ni viambatanishi tu but make sure you have enough energy/calories. Ni Sawa nakusema gari gari umeifanyia service kali oil mpya, hydraulic mpya, radiator umeweka coolant new halafu hujaweka mafuta halafu washa utembee!! Dadeek!!
 
Ufanyaji wa tendo ni built-in kama kipawa kwa watu wengine.

Stamina/refractory period inadepend man na man ni built-in.

Binadamu tunatofautiana ,kuna mwingine akipiga karanga output inakuwa nzuri ila mwingine hata ale tende na alkasusi mashine doro.
 
Back
Top Bottom