Niliungwa moja hatari sana.. Wanayofundishana huko hata shetani hatii mguuNimeshawahi kuingia nikaone wanaongea nini kwenye hilo Grupu aise linafujo hilo, nilikuta wanauziana Vyupi, pedi yaani ni wanamakorokoro mengi.
Kuna mwingine alikuwa anuza dawa za Gono, UTI, Kaswende, pangusa mara Fangasi.
Mwingine anauza dawa za kuongeza hamu na nyege
Mwingine anauza dawa ya kuongeza mpododo
Mwingine anauza dawa ya kuzuia mimba
Aise Wanume tunasema tuna mambo mengi ila wanawake waacheni tu duh.
Yani kwenye simu ya mwanamke hukosi kukuta group la mapenzNiliungwa moja hatari sana.. Wanayofundishana huko hata shetani hatii mguu
Eb elezea kwa kina mkuu uliyoyakuta uko tujueNiliungwa moja hatari sana.. Wanayofundishana huko hata shetani hatii mguu
Kna kitu unataftaa we na utakipata tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Muone...[emoji23]
Picha ikowapi....Niliungwa moja hatari sana.. Wanayofundishana huko hata shetani hatii mguu
Mlimgunduaje na aliingiajeKuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
Acha tu niishie hapo maana yumo humuMlimgunduaje na aliingiaje
Hahahaaaaa.Acha tu niishie hapo maana yumo humu
Ila alijua kutuchefua[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
Ya wanaume si hua mnatusengenya zaidi nyie[emoji28]Hivi wanaume nao wana groups huko mitandaoni.?? Mi naonaga ni ya wanawake tu ya limbwata, sijui makungwi, dawa za mvuto, urembo nk nk.
AkhaaHahahaaaaa.
Mwaga ubuyu basi