Hahahaha[emoji23]Kuna jamaa alikua anamuona mke wake yupo busy sana na group flani la WhatsApp. Limeandikwa "Wanawake Tu" sasa jamaa akawa anatamani sana kuona ndani wanadiscuss nini, so akachukua simu ya mke wake anakuta mke amefuta kila kitu. Duh.
Sasa kuna siku akachukua simu ya mke wake, akamtext Admin akamwambia hii namba ya shosti wangu naomba muunge, afu akafuta izo meseji baada ya kujibiwa. Jamaa akaungwa.
Aisee, aliyoyakuta mke wake anayaongea huko alichoka. Kuhusu michepuko, kuhusu yeye kutoperform vizuri, yaan alijuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utakoma ushapitwa na wakat, sio hiyo tyuuh hadi biskuti Maria. MweeeehUsinitamanishe sasa loh[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].. Maana siku hizi naambiwa sio asali tena ni pipi kifua[emoji23]
Babuuuh hebu nitumie hela jaman khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23]Hebu nidipu tuyajenge.. Hizo akili zangu niachie mwenyewe[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah lolKuna jamaa alikua anamuona mke wake yupo busy sana na group flani la WhatsApp. Limeandikwa "Wanawake Tu" sasa jamaa akawa anatamani sana kuona ndani wanadiscuss nini, so akachukua simu ya mke wake anakuta mke amefuta kila kitu. Duh.
Sasa kuna siku akachukua simu ya mke wake, akamtext Admin akamwambia hii namba ya shosti wangu naomba muunge, afu akafuta izo meseji baada ya kujibiwa. Jamaa akaungwa.
Aisee, aliyoyakuta mke wake anayaongea huko alichoka. Kuhusu michepuko, kuhusu yeye kutoperform vizuri, yaan alijuta.
Hahaha kama nakumbuka hivi... Valentina habari za hapo matejoo msalimie siahahahha valentina ni mimi hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu tuliza ball chini, usha staafu daruga. PoleeeeehAah.. [emoji23] nayo inakuwaje hiyo
Sasa si uje wee khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23]Usiseme huku nawe njoo kule nje loh[emoji2]
Hahaha kulalek sijui kwnn wanahangaikaga sanaHivi wanaume nao wana groups huko mitandaoni.?? Mi naonaga ni ya wanawake tu ya limbwata, sijui makungwi, dawa za mvuto, urembo nk nk.
Wao ni rahisi kushawishika mkuu, facebook imejaa groups zao za limbwata, urembo na madudu mengine ambayo sijui huwa wanayatumia wapi.Hahaha kulalek sijui kwnn wanahangaikaga sana
Mlimbaka????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]Kuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
Mengi ya pilau
Ikiwa anasitasita kukipata basi nikipate mimi kwa niaba yake.Kna kitu unataftaa we na utakipata tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]