Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Uchawi umeupunjaMa group ya kike
70% Ni ngono
25% ni umbea
5% Ni uchawi ( limbwata)
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sitaki dhambi ya umbea iniandameKumbukia kidogo tu tafadhali
Funguka Mkuu.Niliungwa moja hatari sana.. Wanayofundishana huko hata shetani hatii mguu
Hivi ni kufyonza au kunyonya Mkuu? Ni vyema tuweke sawa kumbukumbu kwenye Hansard.Huna adabu hicho kimdomo kuna siku takifyonza mpaka[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]kiache misonyo...!
Mwamba aliishia wapi mwishowe? Hii inapaswa kuwa na muendelezo.Kuna jamaa alikua anamuona mke wake yupo busy sana na group flani la WhatsApp. Limeandikwa "Wanawake Tu" sasa jamaa akawa anatamani sana kuona ndani wanadiscuss nini, so akachukua simu ya mke wake anakuta mke amefuta kila kitu. Duh.
Sasa kuna siku akachukua simu ya mke wake, akamtext Admin akamwambia hii namba ya shosti wangu naomba muunge, afu akafuta izo meseji baada ya kujibiwa. Jamaa akaungwa.
Aisee, aliyoyakuta mke wake anayaongea huko alichoka. Kuhusu michepuko, kuhusu yeye kutoperform vizuri, yaan alijuta.
Ninaomba elimu kidogo mkuu.Kuna tofauti hapo mkuu[emoji2]
Kumbe upo legendary mkongwe wa JF? Zamani sanaKuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
NipeAtakaetaka group za telegram nimpe link
Njoo pmAtakaetaka group za telegram nimpe link