Kwa wanaume: umeshawahi kuungwa kwenye group la wanawake?

Kwa wanaume: umeshawahi kuungwa kwenye group la wanawake?

Kuna jamaa alikua anamuona mke wake yupo busy sana na group flani la WhatsApp. Limeandikwa "Wanawake Tu" sasa jamaa akawa anatamani sana kuona ndani wanadiscuss nini, so akachukua simu ya mke wake anakuta mke amefuta kila kitu. Duh.

Sasa kuna siku akachukua simu ya mke wake, akamtext Admin akamwambia hii namba ya shosti wangu naomba muunge, afu akafuta izo meseji baada ya kujibiwa. Jamaa akaungwa.

Aisee, aliyoyakuta mke wake anayaongea huko alichoka. Kuhusu michepuko, kuhusu yeye kutoperform vizuri, yaan alijuta.
Mwamba aliishia wapi mwishowe? Hii inapaswa kuwa na muendelezo.
 
Wadada wengi wana kaunafiki fulani hivi. wanayoyasema kwenye platform mchanganyiko ni tofauti na kwenye platform za jinsia zao. Kuna dau hapa kwa mdada atakaenisaidia kuwa linked kwenye group Lao.
 
Kuna njemba moja ilitufanyia uhuni tumejiachia kwenye group tukijua ni ladies peke yetu kumbe kuna mjuba mmoja anatuchora tu kuja kumgundua hatuna hamu na group tukaua
Kumbe upo legendary mkongwe wa JF? Zamani sana
 
Back
Top Bottom