umetishaa mkuu..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nilishawahi jikuta namuamkia na kuitikia marahaba mimi mwenyewe, noma sana.
🙁Nilishawai ila mwisho wa mazungumzo aliniambia amemisi piza tuingie sehem nikamnunulie alafu mfukoni nilikuwa na 3000 tu,
Ukijilipua utakuja kulipuliwaKujikata mitama mara moja moja kwa mamanzi wakali wakali kawaida tu. Alafu unajua nini mabinti wazuri wanakuaga wapweke sana. Ni mwendo wakujilipua tu