Umenikumbusha mbali mkuu Marangu Baa bado hipo??Kibo bytheway sipapendi weekend maana makelele ya disco,Zanzibar hotel dah!!Ila naomba nikwambie kuna hotel kuna Bible nawatu juu ya Bible wameweka mzigo wa condom!!Sasa hiyo nikazi ni kwako!!But Mostly wakienda safari lazima waende Shivas pande za Arusha Chakonichako pande za Dom,Toplife pande za Moro na sehemu kibao!!
Ni kweli kabisa Mpwa, hapo kwenye wekundu hapo, nadhani ukibeba ya kwako inakuwa pouwa zaidi, lakini kwanini tusiachane na hio habari? Pombe tena? Duh, ngoja niondoke nimkimbilie mke wangu leo ndio siku ya "zamu" leo, natakiwa nifike mapema, haya nitakie "best wishes".....
Best wishes mkuu na ufanye zamu yako vyema
Na msalimie my wife wako sana
Niliipinga kabisa hio hali na last time nilikua Kigoma nilikaa Hotel ina inaitwa Zanzibar....kulikua na Dada mmoja wa kikongo (nadhani kutokana na lafudhi yake) alinitaka lakini nikachomoa na mwingine alikuwa mhudumu wa pale hotelini. So please sio wote tuko hivyo safari yangu ya mwisho ilikua tarehe 11th September 2011 na nilikua Kibo Hotel-Marangu hapo napo ilikua the same ila nilirudi salam, mi nadhani ni the way unavyoamua kuijiweka, nakubaliana na hoja yako ila nakataa ulivyofanya majumuisho....Ombil langu kwao ni kwamba wabadili Tabia, jenga abia ya kusafiri na Bible au kitabu cha dini yako au hata gazeti ambalo litaku-keep busy, kwa wale walevi hapo sasa....
Siwezi kulala hotel bila mchuchu
<br />mkuu chondechonde!!!wanasomaga hawa then kesho ata ku quote kama mama ze moja! itakula kwako kama yuko jf, <br />
nilifikia sehemu kama wiki tatu hivi zilizopita, niliwakuta wadada wawili pale nikamwomba mmoja aninunulie chips jirani, alivyoleta tuu kaingia chumbani moja kwa moja, nilivyokuwa nakula kapanda kitandani!!! nilimshangaa kumuuliza vipiiii yeye kadai kwao wameshafunga na hana pa kulala?!, nilimtimua kama mwizi..
<br />
<br />
ULIMWACHA KWELI... Mweee labda sio weye...
Kumbe mkiwa safarini hamwez vumilia eee, nimegundua hili leo
wewe! Kwani ukilala bila kuwa nae utakuwaje?