Mku sio wote na hii ni generalization mbaya maana wengine kama mimi napata sanamuda wa kuangalia mivies na series ambazo namis muda wa kuziangalia kutokana na kazi
Muda mwingi naumalizia kweney kuangalia movie na nikitoka naenda pata bia mbili tatu narudi kuendelea na movies
Muda mwingi naumalizia kweney kuangalia movie na nikitoka naenda pata bia mbili tatu narudi kuendelea na movies