Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Nov 23, 2018 #21 Uko sahihi mkuu!
Sweet16 JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 5,314 Reaction score 9,215 Nov 23, 2018 #22 Watery said: Nikivuta picha we ni mwanaume ulioko kazini na hapo kazin kuna watu kibao Kuna mwanamke unaempenda sana ila kuna lijamaa linaonekana liko nae mda mwingi linambania Kila siku mtu huongea na kuchukia kitu ambacho hukiwez Click to expand... Mi nimemuelewa hapo kwenye kuazima gari afu kila akionekana mahali anaripotiwa hahaha hivyo ndo imemkera
Watery said: Nikivuta picha we ni mwanaume ulioko kazini na hapo kazin kuna watu kibao Kuna mwanamke unaempenda sana ila kuna lijamaa linaonekana liko nae mda mwingi linambania Kila siku mtu huongea na kuchukia kitu ambacho hukiwez Click to expand... Mi nimemuelewa hapo kwenye kuazima gari afu kila akionekana mahali anaripotiwa hahaha hivyo ndo imemkera
Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 35,012 Reaction score 70,201 Nov 23, 2018 #23 Mi naona umemind kwakua kambi ndogo zinaumbuliwa.
bro_A JF-Expert Member Joined Nov 5, 2015 Posts 1,371 Reaction score 1,060 Nov 23, 2018 #24 Haya mambo tuyaepuke sana wanaume, kukaa na wanawake ni hatari sana
Emmanuel_Adam14 JF-Expert Member Joined Dec 25, 2015 Posts 670 Reaction score 744 Nov 26, 2018 #26 Hivi kijiwe na boda boda nacho ni office!!