Kwa wanaume

Please specify hapo kwenye rangi hahahahah lol! haya ulale unono, wasalimie wote wakupendao pia wafikishie salamu nyingi za kutoka kwa BaK. Thie watoto tunaendelea kucheza hapa.

umeona huko kichwani sina nywele,ndo maana yake nimenyoa(umeelewa).....sasa Asha D kasema nimependeza kutokuwa na nywele ndefu.....salamu zimefika.....nawe pia wasalimu wakupendao na uwapendao.....endelea kucheza hapo,usipige wenzio...mcheze kwa amani wanangu....lolest!!
 
Reactions: BAK
Acha namimi nilog out bana, Halle Berry anataka tukashower tugeza.
 

Hahahahahah haya nimelewa lol!
 
Jamani acheni hizo. Kwa kuwa wewe ulichagua koroma (km nazi) basi unadhani wote wako hivyo. Generalization ni mbaya sana.Sikinde waliimba: "Mwanetu kaza moyo uishi na mkeo/mmeo, ni wewe mwenyewe uliyempenda."
 
Dogo hii niliiona sehemu kilichobadilika ni jina tu,tumekuvumilia sana na copy&paste zako za kumdanganya dearest kesho naleta hapa original version.
 
Reactions: CPU
huo ni wajibu wa wife to take care of me coz ndo maeneo yake ya kurest,
 
wadada wanadhan wao ndo wasafi, ngoja niyaandike mauchafu yao hapa...
mdada anajua mnakutana m do, af kule chini ukimvua kunanukaaaa kama panya alokufa na nyie heb badilikeni.
 
Mkuu mzuanda, kweli umenituamulia. Eti makwapa ya njano teh!
 
swali la nyongeza kwa nini kwetu iwe ruhusa kuvaa kyupi kimoja na nyie viwili au zaidi...........hapa sio mnaficha uchakachuaji?
 
Jamani acheni hizo. Kwa kuwa wewe ulichagua koroma (km nazi) basi unadhani wote wako hivyo. Generalization ni mbaya sana.Sikinde waliimba: "Mwanetu kaza moyo uishi na mkeo/mmeo, ni wewe mwenyewe uliyempenda."

rudia tena kusoma, mstari wa kwanza unasema "baadhi yenu" nadhani unaelewa maana ya baadhi

 
mmh wewe acha wivu.
waacheeeeeeeeeeeee..wapumzisheeeee!!!
Sheria za JF haziruhusu kutongozana hazarani especially kutongozana kidosi dosi, sjui unajifanya umekosea spelling za jina khaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…