Kwa wanaume

Kwa wanaume

Michelle hongera mpenzi kwa kazi ngumu mno... hope watakualika Anniversary yao...
hata wasiponialika nitajialika......navyompenda Lizzy hakuna nitakalokosa whether anataka au hataki.....l.o.l.....Hongera zaidi mpenzi,uliyeanza kazi ngumu kwa hawa lovebirds wawili....kuna kitu nimejifunza kuhusu Lizzy leo....:A S 103::A S 103:

Kama itakuwepo partner...
mara hii dearest unasema hivi? kama humtaki CPU sema bwana,naona unamuumiza sasa.....:clock:
 
Ohhh hubby...me love you soooo much!Ukiendelea hivi tutazeeka pamoja!Embu kwanza naomba unijibie huyo mzushi Kloro kabla hajaanza uchokozi tena!

Atazeeka Kloro na kawivu kake
Sisi hatuzeeki
Through our love, We'll be young forever
 
mara hii dearest unasema hivi? kama humtaki CPU sema bwana,naona unamuumiza sasa.....:clock:

Mkiwa mnamwambia ukweli namna hii kila mara, sitazeeka mie
Itakuwa raha tupu
 
Haya wababa mmesikia...kuweni wasafi msiwaboe wenzenu!!!

Usafi ni muhimu kuliko kitu chochote kati ya wapendanao. Lakini once in a while mwanaume lazima unuke kama beberu banaaaaa manake mademu wengine has wazungu una-wa turn on kinoma
 
hata wasiponialika nitajialika......navyompenda Lizzy hakuna nitakalokosa whether anataka au hataki.....l.o.l.....Hongera zaidi mpenzi,uliyeanza kazi ngumu kwa hawa lovebirds wawili....kuna kitu nimejifunza kuhusu Lizzy leo....:A S 103::A S 103:


mara hii dearest unasema hivi? kama humtaki CPU sema bwana,naona unamuumiza sasa.....:clock:

Dearest nlikua na wasiwasi hatokubali ombi langu...ila nashukuru karudi niliyempenda!!

Hehheheeh embu tujue ulichojifunza dearest.....!
 
hata wasiponialika nitajialika......navyompenda Lizzy hakuna nitakalokosa whether anataka au hataki.....l.o.l.....Hongera zaidi mpenzi,uliyeanza kazi ngumu kwa hawa lovebirds wawili....kuna kitu nimejifunza kuhusu Lizzy leo....:A S 103::A S 103:

ara hii dearest unasema hivi? kama humtaki CPU sema bwana,naona unamuumiza sasa.....:clock:




Usione nilikaa kimya... nilikupotea dear,, naona umeamua unyoe upara... umepata contract ya modelling eeeh.... Enways good nite mpenzi and sweet dreams, naomba utaniagia na hao lovebirds.... By the way ulivyonyoa napo umependeza....
 
Halaf michelle bana, yaani anamsukumiza Lizzy kwa mlalahoi CPU ili yeye apate chansi ya kujilengesha kwa faifu star klorokwini bila competition.
 
Dearest nlikua na wasiwasi hatokubali ombi langu...ila nashukuru karudi niliyempenda!!

Hehheheeh embu tujue ulichojifunza dearest.....!

ha ha haaaaaa......when in love,you can be too soft and a humble....am used to tough/no non sense/straight forward Lizzy....today, i have seen a soft girl in love and who can change bitterness to joyfulness!! mi proud of you..!!!
 
Halaf michelle bana, yaani anamsukumiza Lizzy kwa mlalahoi CPU ili yeye apate chansi ya kujilengesha kwa faifu star klorokwini bila competition.

Nani kasema bila kompetishen??
Hata Asha D alale vipi, lazima ndundi zipigwe
Tena Asha D anapiga ka Asha Ngedere
 
ha ha haaaaaa......when in love,you can be too soft and a humble....am used to tough/no non sense/straight forward Lizzy....today, i have seen a soft girl in love and who can change bitterness to joyfulness!! mi proud of you..!!!
tangu ubadilishe avatar unaongea mapointi kweli aisee
 
ha ha haaaaaa......when in love,you can be too soft and a humble....am used to tough/no non sense/staright forward Lizzy....today, i have seen a soft girl in love and who can change bitterness to joyfulness!! mi proud of you..!!!

Khaaa!
Hii movie ingekuwa halisi mmmmh, sijui?!!!!!
 
ha ha haaaaaa......when in love,you can be too soft and a humble....am used to tough/no non sense/straight forward Lizzy....today, i have seen a soft girl in love and who can change bitterness to joyfulness!! mi proud of you..!!!

Hahahah...mapenzi hadithi nyingine dearest...mpaka mwenyewe najishangaa nilivyokua mpole!!Mhhh unamwona Kloro lakini...anasema eti unaogopa kompetisheni!!
 
Back
Top Bottom