Kwa wanaume

Kwa wanaume

Soma hapo chini....they say, easy come easy go....playing hard to get is good sometimes...l.o.l


asante dearest,ngoja tuone atakuja na lipi? manake nahisi ana jambo lake.....:dance::dance:

:tonguez:
 
Mi nina wivu mbaya
Mambo ya kuambiana na akina kloro sijui utawaogesha, mara utaoga nao mi hata sikuelewi
Huo utani mi siuwezi.
utani gani wa kutaniana na mwanaume eti ukaoge nae
Khaaaa!

Nimeshaacha....hata salamu ntakua nawapa kwa mbali!
 
Mi nina wivu mbaya
Mambo ya kuambiana na akina kloro sijui utawaogesha, mara utaoga nao mi hata sikuelewi
Huo utani mi siuwezi.
utani gani wa kutaniana na mwanaume eti ukaoge nae
Khaaaa!
he he he heeeeeeee nilijua tu unalo linalokukaba roho....niliposema una lako jambo ndo hili sasa umeweka wazi.....yaishe...!!

Nimeshaacha....hata salamu ntakua nawapa kwa mbali!
Thats my girl,humble,sweet and understanding....way to go dearest!!:A S-rose:
 
he he he heeeeeeee nilijua tu unalo linalokukaba roho....niliposema una lako jambo ndo hili sasa umeweka wazi.....yaishe...!!


Thats my girl,humble,sweet and understanding....way to go dearest!!:A S-rose:

Hahhha asante dearest!!Tuone sasa kama atanielewa!
 
Najua huyo ni mpenzi uliyempata bila kutegemea umekuta anatabia hiyo!pole ila mfunde huyo mpenzi wako na zaidi muwekee majiyamoto mwite ili mwoge wote!ila nakulaumu kumwanika mpenzi wako hapa jukwaani!!Wako ndo aogi uwezikusema wanaume wote!nitashindwaje kuoga wakati mimi siogei kopo???napolala mita chache na mahali pakuoga iweje nilale bila kuoga??lakini sikulaumu yawezekana ni mabwana gani unaokutana nao??ila kwakuwa tayari huko jf umeishajifunza mengi hivyo utakuwa mjanja!!huyo uliyenayehaogi ni type yako yawezekana nawewe mazingira yako yako hivyo ndo maana haogi!!
 
Michelle a lady i admire with busara za kutosha na mkweli bila kupindisha
huwezi jua to what extent nimefurahi wewe kuja hapa na ukajionea...
Mwanaume ana gubu huyu la kuzaliana bila kupungua.... ukitaka upate
picha kamili nenda nyumbani kwa Bishanga mtaa wa hii ni sig yangu...
Kwa busara zako najua utaona ukweli na yupi mwenye makosa...
Nimejaribu hata kumbembeleza kua let us fight together lakini haoni
kazi kulalamika tu!!!


Kama umeweza kuniambia nikusaidie unaibiwa then naomba uamini namfahamu Lizzy na nina uwezo wa kujua uwezo wake kufanya maamuzi ukoje....unamkosea unapoona hawezi kuamua kile kilicho bora kwake,including mwanaume anayemfaa kwenye maisha yake....timiza wajibu wako kwake to the best of your ability,the rest mwachie yeye....usiwe mtu wa maneno sana,vitendo vimfanye Lizzy aamue ni wewe au Uporoto au Kloro muuza chipsi.....ha ha ha ha,akimaliza kuandika proposal utamkoma....tumia huu muda vizuri!!!
A%20S-rose.gif


Nakuelewa vizuri sana mpenzi
Ila jichunguze vizuri huko KUMFAHAMU kwako vizuri Lizzy
Sio yule wa kipindi kile namvisha pete

Yaani unanipa matumaini halafu ninachokiona kwake ni tofauti na maelezo yako
Ngoja nisiongee tena mie
Nimuache Lizzy aamue anavyotaka.
Kubembeleza anavyotaka Lizzy kumenishinda
Namruhusu tu aende anapoona atabembelezwa ajisikie vizuri
Nitabaki kuwa mshauri kwa vijana wengine



Wow....Thank you Asha....i admire your intelligency and wisdom as well.....!!
nimerudia kusoma post za nyuma, CPU anajua anapendwa na Lizzy,sema anajidai kama halielewi hilo ili pengine kupata reaction na attention ya Lizzy na Asha....naona Lizzy amefikia hatua ya kuwaita wanga kama kina Kloro muuza chipsi kwa vyeo vyao but CPU anaendelea tu kusema Lizzy anaibiwa na kuuzwa...sasa CPU naomba ujiamini na uzidishe upendo,kitakachomuweka Lizzy kwenye maisha yako ni mapenzi,heshima,imani,kujali na zaidi mema mengi anayostahili kutoka kwako......!!!
A%20S-rose.gif


Wajanja hao mpenzi
Lizzy atawaita akina Kloro hata Bamia zilizopikwa lakin kwenye vitendo ni
A%20S-rose.gif
A%20S-rose.gif
A%20S-rose.gif

Yaani hayo majina wala yasikuzingue
Hata kwenye simu yake kam-save Uporoto kama MUUZA GENGE
Lakin kila akipiga simu huyo MUUZA GENGE anaenda kuipokelea nje, kwa nini sasa???
Wanaongea vitu gani ambavyo mi sipaswi kuvijua??
Fungua jicho la 3 mama


Soma hapo chini....they say, easy come easy go....playing hard to get is good sometimes...l.o.l asante dearest,ngoja tuone atakuja na lipi? manake nahisi ana jambo lake.....:dance::dance:

Mi nina wivu mbaya
Mambo ya kuambiana na akina kloro sijui utawaogesha, mara utaoga nao mi hata sikuelewi
Huo utani mi siuwezi.
utani gani wa kutaniana na mwanaume eti ukaoge nae
Khaaaa!


Nimeshaacha....hata salamu ntakua nawapa kwa mbali!




Michelle hongera mpenzi kwa kazi ngumu mno... hope watakualika Anniversary yao...
 
Wow....Thank you Asha....i admire your intelligency and wisdom as well.....!!

nimerudia kusoma post za nyuma, CPU anajua anapendwa na Lizzy,sema anajidai kama halielewi hilo ili pengine kupata reaction na attention ya Lizzy na Asha....naona Lizzy amefikia hatua ya kuwaita wanga kama kina Kloro muuza chipsi kwa vyeo vyao but CPU anaendelea tu kusema Lizzy anaibiwa na kuuzwa...sasa CPU naomba ujiamini na uzidishe upendo,kitakachomuweka Lizzy kwenye maisha yako ni mapenzi,heshima,imani,kujali na zaidi mema mengi anayostahili kutoka kwako......!!!:A S-rose:

Kama umeweza kuniambia nikusaidie unaibiwa then naomba uamini namfahamu Lizzy na nina uwezo wa kujua uwezo wake kufanya maamuzi ukoje....unamkosea unapoona hawezi kuamua kile kilicho bora kwake,including mwanaume anayemfaa kwenye maisha yake....timiza wajibu wako kwake to the best of your ability,the rest mwachie yeye....usiwe mtu wa maneno sana,vitendo vimfanye Lizzy aamue ni wewe au Uporoto au Kloro muuza chipsi.....ha ha ha ha,akimaliza kuandika proposal utamkoma....tumia huu muda vizuri!!!:A S-rose:

Fiancee wangu Halle Berry akiona hizo red atakasirika kweli .
 
Nimeshaacha....hata salamu ntakua nawapa kwa mbali!

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]I was crushed into pieces full of pain and anger. I hated that love existed. I hated that I had loved anyone.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif] Time has passed, my heart has been put back together. [/FONT]
As fragile as it feels ... it still longs to be loved.
My heart yearns for your touch sweet Lizzy, that will comfort my soul.
I see people falling in love... and I was beginning to feel lonely.
My heart wants someone to fall in love with.

My heart yearns to be guarded by love that will never let go or hurt it.
My dream of falling in love is now true...the sight of people holding handspulls at my heart.
Where are you my princess Lizzy?

And the waiting begins...waiting for you to come and rescue me from this cold castle and set my heart free.[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
Allured by that intense wonder deep in your eyes,
I long for your touch and what would be...

[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]My heart's[/FONT]:A S-heart-2::A S-heart-2:[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif] Lizzy.[/FONT]:A S-heart-2::A S-heart-2:
 
lakn anachosema ni kwel mana kunawatu wengne kha! Mpaka haibu kusema na uchafu kukumbuka mh! Usaf muhmu lakn hlo nalo nenooo
 
Sasa huo mtazamo hasi hautakiwi... dah, hebu angalia maneno mazuri ya CPU to Lizzy.... Ubarikiwe mdada Michelle...

At least now umejitutumua kumsema partner wako . . . lol
 
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]I was crushed into pieces full of pain and anger. I hated that love existed. I hated that I had loved anyone.[/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif] Time has passed, my heart has been put back together. [/FONT]
As fragile as it feels ... it still longs to be loved.
My heart yearns for your touch sweet Lizzy, that will comfort my soul.
I see people falling in love... and I was beginning to feel lonely.
My heart wants someone to fall in love with.

My heart yearns to be guarded by love that will never let go or hurt it.
My dream of falling in love is now true...the sight of people holding handspulls at my heart.
Where are you my princess Lizzy?

And the waiting begins...waiting for you to come and rescue me from this cold castle and set my heart free.[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
Allured by that intense wonder deep in your eyes,
I long for your touch and what would be...

[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]My heart's[/FONT]:A S-heart-2::A S-heart-2:[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif] Lizzy.[/FONT]:A S-heart-2::A S-heart-2:

Ohhh hubby...me love you soooo much!Ukiendelea hivi tutazeeka pamoja!Embu kwanza naomba unijibie huyo mzushi Kloro kabla hajaanza uchokozi tena!
 
Sasa huo mtazamo hasi hautakiwi... dah, hebu angalia maneno mazuri ya CPU to Lizzy.... Ubarikiwe mdada Michelle...
Nimeona partner...thanks alot for your help maana bila wewe leo ningepigwa na baridi sana!
 
Ohhh hubby...me love you soooo much!Ukiendelea hivi tutazeeka pamoja!Embu kwanza naomba unijibie huyo mzushi Kloro kabla hajaanza uchokozi tena!
khaaaa! yaani nimekuwa muuza chipsi mzushi? kweli leo kiama.
 
Back
Top Bottom