nina maana yangu nlipo sema yoyote sijakulupuka.
afro achana na dogo kwanza asome shule njoo kwangu tafadhali
k. Vigezo hv hapa
awe kwanzi miaka 18-35
mrefu, c o mnene sana, mcha mungu, mwenye mapenzi ya kweli, haja wahi kuolewa, asi na mtoto, elimu si chini ya kidato cha nne, asiwe tegemezi awe m2 wa kujishughulisha and lastly ajue mambo ndani ya sita kwa sita
Mwanamke wa 35 utamfanyia nini b4theg ?18 to 35